Hhaha yan we unatak umpagawishe had awe boya, nadhan kwenye mahusiano yenu kutakuwa mambo meng mnapitia japo hujafunguka sana, nadhan unamaanisha ana k cheat.
Kaaa na Mumeo muyajenge wenyewe haknaga dawa
Kuwa Boya.... Zuzu.... Zezeta wa mapenzi labda ukamroge Dada. Limbwata litakusaidia. Otherwise mpende na muheshimu na wewe pia utambue wewe ni mke. Fanya majukumu yako kama mke. Atakuwa zezeta tu.
wanaume tukiamua kukuacha tunaacha bila hata wakati wa kugegedwa ukakata viuno vizuri
tutauliza umejifunza wapi toka nenda huko huko walipokufundisha sikutaki