Kumlipa dalali kodi ya mwezi mmoja

Liky

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
428
251
Habari wana Jamii Forums

Mimi kuna issue ambayo sijaielewa, yani dalali anatakiwa alipwe kodi ya mwezi mmoja na mpangaji kwa kumtafutia nyumba. Binafsi naona kumlipa dalali ujira kwa kazi ya kukutafutia nyumba ni kawaida kibinadamu cause ametumia muda wake kuzunguka kutafuta nyumba hiyo.

Tatizo linakuja pale dalali anapodai kulipwa kiwango sawa na kodi ya mwezi mmoja yani kama unalipa 500,000/= kwa mwezi basi dalali atapokea kiasi hicho hicho, huu ni wizi wa wazi kabisa.
Ingefaa kuwe na viwango maalumu vya kuwalipa madalali kama kwa asilimia na tena izingatie hali ya kipato cha watu maana yake mtu kwenda kupanga nyumba sio kwamba ana uwezo mkubwa sana kifedha bali kila mtu anajibana ili aweze kusogeza siku.

Wenye nyumba nao wanatakiwa kubadilika na kwenda na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia watu wanaotafuta nyumba, watumie platform zilizopo kama facebook, instagram au hata mitandao maalumu ya mitandao kama zoomtanzania. Watu wengi wanapitia mitandao hiyo na wala hawahitaji madalali kufanikisha kazi hiyo.
 
Habari wana Jamii Forums

Mimi kuna issue ambayo sijaielewa, yani dalali anatakiwa alipwe kodi ya mwezi mmoja na mpangaji kwa kumtafutia nyumba. Binafsi naona kumlipa dalali ujira kwa kazi ya kukutafutia nyumba ni kawaida kibinadamu cause ametumia muda wake kuzunguka kutafuta nyumba hiyo.

Tatizo linakuja pale dalali anapodai kulipwa kiwango sawa na kodi ya mwezi mmoja yani kama unalipa 500,000/= kwa mwezi basi dalali atapokea kiasi hicho hicho, huu ni wizi wa wazi kabisa.
Ingefaa kuwe na viwango maalumu vya kuwalipa madalali kama kwa asilimia na tena izingatie hali ya kipato cha watu maana yake mtu kwenda kupanga nyumba sio kwamba ana uwezo mkubwa sana kifedha bali kila mtu anajibana ili aweze kusogeza siku.

Wenye nyumba nao wanatakiwa kubadilika na kwenda na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia watu wanaotafuta nyumba, watumie platform zilizopo kama facebook, instagram au hata mitandao maalumu ya mitandao kama zoomtanzania. Watu wengi wanapitia mitandao hiyo na wala hawahitaji madalali kufanikisha kazi hiyo.

Ufumbuzi ni platform itawakutanisha mwenye nyumba na mpangaji. Inaweza kuwa webiste maalum ambapo wawili hao wanaweka matangazo yao na number zao za simu kwa gharama nafuu. Hii hasa inamsaidia mpangaji maana ndiyo hulipa hiyo hela.

Lakini je?, kila mtafuta nyumba/chumba yupo ana uwezo wa kutumia internet?
 
Habari wana Jamii Forums

Mimi kuna issue ambayo sijaielewa, yani dalali anatakiwa alipwe kodi ya mwezi mmoja na mpangaji kwa kumtafutia nyumba. Binafsi naona kumlipa dalali ujira kwa kazi ya kukutafutia nyumba ni kawaida kibinadamu cause ametumia muda wake kuzunguka kutafuta nyumba hiyo.

Tatizo linakuja pale dalali anapodai kulipwa kiwango sawa na kodi ya mwezi mmoja yani kama unalipa 500,000/= kwa mwezi basi dalali atapokea kiasi hicho hicho, huu ni wizi wa wazi kabisa.
Ingefaa kuwe na viwango maalumu vya kuwalipa madalali kama kwa asilimia na tena izingatie hali ya kipato cha watu maana yake mtu kwenda kupanga nyumba sio kwamba ana uwezo mkubwa sana kifedha bali kila mtu anajibana ili aweze kusogeza siku.

Wenye nyumba nao wanatakiwa kubadilika na kwenda na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia watu wanaotafuta nyumba, watumie platform zilizopo kama facebook, instagram au hata mitandao maalumu ya mitandao kama zoomtanzania. Watu wengi wanapitia mitandao hiyo na wala hawahitaji madalali kufanikisha kazi hiyo.
Kwanza Nikusahihishe Hayo yanaitwa malipo ya Pango na kwa kiingereza inaitwa Rent na wala siyo Kodi. Kodi ni kitu kingine kabisa na kinasifa zake na Serikali peke yake ndiyo hukusanya Kodi Duniani Kote.
 
Habari wana Jamii Forums

Mimi kuna issue ambayo sijaielewa, yani dalali anatakiwa alipwe kodi ya mwezi mmoja na mpangaji kwa kumtafutia nyumba. Binafsi naona kumlipa dalali ujira kwa kazi ya kukutafutia nyumba ni kawaida kibinadamu cause ametumia muda wake kuzunguka kutafuta nyumba hiyo.

Tatizo linakuja pale dalali anapodai kulipwa kiwango sawa na kodi ya mwezi mmoja yani kama unalipa 500,000/= kwa mwezi basi dalali atapokea kiasi hicho hicho, huu ni wizi wa wazi kabisa.
Ingefaa kuwe na viwango maalumu vya kuwalipa madalali kama kwa asilimia na tena izingatie hali ya kipato cha watu maana yake mtu kwenda kupanga nyumba sio kwamba ana uwezo mkubwa sana kifedha bali kila mtu anajibana ili aweze kusogeza siku.

Wenye nyumba nao wanatakiwa kubadilika na kwenda na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia watu wanaotafuta nyumba, watumie platform zilizopo kama facebook, instagram au hata mitandao maalumu ya mitandao kama zoomtanzania. Watu wengi wanapitia mitandao hiyo na wala hawahitaji madalali kufanikisha kazi hiyo.
Sio wizi kwani mnakubaliana kabla hajakutafutia, ukiona nyingi kataa tafuta mwenyewe. au mwambie 500,000 nyingi achukue angalau 250,000.
 
Mnavyolipana pesa ma dalali hiyo pesa inakatwa kodi ili kiasi hicho chs fefha kiende serikalini?
 
Ni kazi inayolipa mno siku hizi na inahitaji mtaji vilevile , Unakuta nyumba kabla haijaisha dalali keshailipia hiyo nyumba yote...Sasa wewe jifanya unatafuta nyumba mwenyewe bila dalali utamaliza viatu na nyumba hutopata. Pamoja na pesa wanayoichukua wanaraturahisishia maisha pia huku wakijipatia pato la kutunza familia zao...
 
Ni kazi inayolipa mno siku hizi na inahitaji mtaji vilevile , Unakuta nyumba kabla haijaisha dalali keshailipia hiyo nyumba yote...Sasa wewe jifanya unatafuta nyumba mwenyewe bila dalali utamaliza viatu na nyumba hutopata. Pamoja na pesa wanayoichukua wanaraturahisishia maisha pia huku wakijipatia pato la kutunza familia zao...
Hii pia ipo kwenye ununuzi wa viwanja/mashamba...unakuta muuzaji anauza eneo lake say 18 mil dalali anaomba alinune kwa instalment kwa muda wa miezi 6, akikubaliwa anachokifanya anamlipa 1/3 ya fedha na yeye kukata kata vipande vya shamba na kuanza kutafuta wateja... ndani ya miezi miwili ashauza shamba/kiwanja chote na kashajipatia mil 38...kamchezo hako nimekakuta Dar....!
 
Habari wana Jamii Forums

Mimi kuna issue ambayo sijaielewa, yani dalali anatakiwa alipwe kodi ya mwezi mmoja na mpangaji kwa kumtafutia nyumba. Binafsi naona kumlipa dalali ujira kwa kazi ya kukutafutia nyumba ni kawaida kibinadamu cause ametumia muda wake kuzunguka kutafuta nyumba hiyo.

Tatizo linakuja pale dalali anapodai kulipwa kiwango sawa na kodi ya mwezi mmoja yani kama unalipa 500,000/= kwa mwezi basi dalali atapokea kiasi hicho hicho, huu ni wizi wa wazi kabisa.
Ingefaa kuwe na viwango maalumu vya kuwalipa madalali kama kwa asilimia na tena izingatie hali ya kipato cha watu maana yake mtu kwenda kupanga nyumba sio kwamba ana uwezo mkubwa sana kifedha bali kila mtu anajibana ili aweze kusogeza siku.

Wenye nyumba nao wanatakiwa kubadilika na kwenda na mabadiliko ya teknolojia ili kusaidia watu wanaotafuta nyumba, watumie platform zilizopo kama facebook, instagram au hata mitandao maalumu ya mitandao kama zoomtanzania. Watu wengi wanapitia mitandao hiyo na wala hawahitaji madalali kufanikisha kazi hiyo.
.......... Biashara ni maelewano ! ..... unajuwa pesa wanazopiga mawakala / madalali wa kina Ronaldho !?
 
Back
Top Bottom