Mbona tulitumiwa msg wateja kuwa yatakuwa yanatoka Mara tatu kwa week.Dodoma Tuna yatizo la maji Week yote hii
Mamlaka husika inashindwa kututangazia wateja kuna shida gani.
Kweli magufuli ameongeza nidhamu kwa watumishi wa Uma.
Jiwe Out hatukutaki