Kumekucha Zanzibar, mwezi mtukufu wakristo tuepuke mitego

Status
Not open for further replies.

Zanzibar-Nyamwezi

JF-Expert Member
Jun 11, 2013
1,244
764
Mitaani mjini Zanzibar wanapita maafsa (walovimbiwa bado mlo wa asubuhi mapema)karibu na nyumba za Wakristo/Wabara kuona au kunusa kama kuna mapishi yanafanyika, wanazidisha sasa kwani mtu atazuia vipi na harufu isitoke pamoja na kufunga milango na madirisha? Ukikamatwa kifungo ni ya moja kwa moja hadi ramadhani ya mwaka ujawo, kwa mujibu ya maelezo yao. Lakini pia ni kipindi cha kutafutiwa 18 hasa kwa tunobaguliwa asili ya Bara, tuepuke mitego yote.
 
Kama ni kweli basi hakuna hata haja ya kufunga.Dini hailazimishwi,ingekuwa hivyo hata Mwenyezi Mungu angeshatupangia kwa lazima cha kuabudu na cha kuamini na kulazimisha kutotenda dhambi.Kuna ulazima wa kujitathmini kama dini.
 
Mitaani mjini Zanzibar wanapita maafsa wa serikali karibu na nyumba za Wakristo/Wabara kuona au kunusa kama kuna mapishi yanafanyika, wanazidisha sasa kwani mtu atazuia vipi na harufu isitoke pamoja na kufunga milango na madirisha? Ukikamatwa kifungo ni ya moja kwa moja hadi ramadhani ya mwaka ijayo, kwa mujibu ya maelezo yao. Lakini pia ni kipindi cha kutafutiwa 18 hasa kwa tunobaguliwa asili ya Bara, tuepuke mitego yote.

HALAFU UNAFAIDIKA NA NINI NA HUU UPOTOSHAJI UNAOUFANYA
AU NDO MAFUNDISHO YA DINI YAKO KUENEZA CHUKI


KUNA WATU WANAKUA MIILI TU
 
Mitaani mjini Zanzibar wanapita maafsa wa serikali karibu na nyumba za Wakristo/Wabara kuona au kunusa kama kuna mapishi yanafanyika, wanazidisha sasa kwani mtu atazuia vipi na harufu isitoke pamoja na kufunga milango na madirisha? Ukikamatwa kifungo ni ya moja kwa moja hadi ramadhani ya mwaka ijayo, kwa mujibu ya maelezo yao. Lakini pia ni kipindi cha kutafutiwa 18 hasa kwa tunobaguliwa asili ya Bara, tuepuke mitego yote.
Uliambiwa kula hadharani na si vinginevyo. Sasa unapandikiza chuki eti maafisa wanapita majumbani kunusa. Uislamu umeangalia kuwa majumbani kuna wagonjwa, watoto, wasioweza kufunga kisheria hao wanaruhusiwa kula ndani kwao

Angalia sana..!
 
Mitaani mjini Zanzibar wanapita maafsa wa serikali karibu na nyumba za Wakristo/Wabara kuona au kunusa kama kuna mapishi yanafanyika, wanazidisha sasa kwani mtu atazuia vipi na harufu isitoke pamoja na kufunga milango na madirisha? Ukikamatwa kifungo ni ya moja kwa moja hadi ramadhani ya mwaka ijayo, kwa mujibu ya maelezo yao. Lakini pia ni kipindi cha kutafutiwa 18 hasa kwa tunobaguliwa asili ya Bara, tuepuke mitego yote.
Poleni huko siyo pakuishi hata siku
 
Kwani Zanzibar ni nchi inayo ongozwa kwa misngi ya kidini? Samahni nahitaji kujuzwa tuu!!
 
Mitaani mjini Zanzibar wanapita maafsa wa serikali karibu na nyumba za Wakristo/Wabara kuona au kunusa kama kuna mapishi yanafanyika, wanazidisha sasa kwani mtu atazuia vipi na harufu isitoke pamoja na kufunga milango na madirisha? Ukikamatwa kifungo ni ya moja kwa moja hadi ramadhani ya mwaka ijayo, kwa mujibu ya maelezo yao. Lakini pia ni kipindi cha kutafutiwa 18 hasa kwa tunobaguliwa asili ya Bara, tuepuke mitego yote.

Hata kama taarifa hii siyo ya kweli lakini kuna kiini cha hoja ya kujadili.Hawa wenzetu hawawezi kukwepa ukweli kuwa dini hii mara zote inajaribu kufungamanisha serikali na imani yao.Angalia kule Iran mkuu Wa serikali ni nani? Ayatollah Khomein.Jana nimemsikia Shein yeye kama muumini Wa kawaida tu katika Uislamu ndiyo akitoa ultimatum akitumia nafasi yake kuwaonya wafanya biashara wasipandishe bei za vyakula.Maana yake nini?Tafsiri iko wazi kwamba yeye anachukuliwa kama Supreme religious leader kwa nafasi yake.Kwamba anazo kofia mbili.Mbona huku bara hakujatolewa tangazo na kiongozi Wa serikali Wa kiislamu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom