Kumekucha CCM vs UKAWA

Mimi Leo nimemnyima Huduma MTU kituoni kwangu kwa kua yeye ni ccm dam. Watu tukio serious.
hongera umepata faida gani???na umemnyima huduma kwa kuwa wewe hutataka huduma kwake yaani unauhakika wa kupata kila kitu bila yeye hongera sana
 
Duu mbona mambo yanazidi kuharibika. Tunapoelekea mambo yatazidi kuharibika. Raisi kama ni msikivu aliangalie hili kwa jicho la tatu.

Raisi Yupi unaye muongelea? Kama ni JPM, yeye ni CCM, hawezi kukiuka msimamo wa chama chake
 
..... usiwasemee watu,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…