GE2025 Kumbukizi: Rais Mstaafu Jakaya Kikwete "Hakuna Udikteta Nusu"

GE2025 Kumbukizi: Rais Mstaafu Jakaya Kikwete "Hakuna Udikteta Nusu"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mtazamo wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuhusu Udikteta vs Demokrasia. "Hakuna Udikteta Nusu"

Haliyasema hayo July 23, 2023
Rais mstaafu J Kikwete anaeleza kuwa hakuna udikteta nusu au udikteta wenye ubinadamu, Udikteta ni udikteta tuu. Udikteta ni kuwanyima watu fursa ya kutoa maoni, wewe peke yako ndie mwenye ukweli na wanapotoa maoni tofauti na yako unawagonga huo ni udikteta.

 
AmesemaKutowa maoni sasa wewe unapita lwenye majukwa ukutukana Kiongozi na kusema ati utavuruga uchaguzi ni vitu 2 tafauti
 
"Udiktena ni kuwanyima watu kutoa maoni yao"
Halafu ndo anayafanya sasa hvi na mwenzie
 
Mtazamo wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuhusu Udikteta vs Demokrasia. "Hakuna Udikteta Nusu"

Haliyasema hayo July 23, 2023
Rais mstaafu J Kikwete anaeleza kuwa hakuna udikteta nusu au udikteta wenye ubinadamu, Udikteta ni udikteta tuu. Udikteta ni kuwanyima watu fursa ya kutoa maoni, wewe peke yako ndie mwenye ukweli na wanapotoa maoni tofauti na yako unawagonga huo ni udikteta.

View attachment 3444622
Na dhana ya uhuru wa maoni ni chanya. Yaani kuutumia kuleta ustawi wa jamii! Kinyume chake ni kuvunja sheria.
 
Back
Top Bottom