Kumbe wasaudia ni wasikivu kwa Donald Joseph Trump

2013

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
11,358
6,059
Trump a.k.a tingatinga alihudhuria mkutano wa falme za waarabu. Hakumung'unya maneno kama mtangulizi wake Obama. Kikubwa aliwataka waufute ugaidi. Ofcause wale watu wa kebo nyuuz democrats CNN walidisi kua ugaidi hauwezi sepa. Huku Wakipewa sapoti ya propaganda na aljaziira.Naona wasaudi wamedhamiria kiukweli this time kuufuta.

Wademocrats wameanzisha propagada kua Kale ka Qatar katamfuat Iran na Hizbollah. Em wathubutu waone. !

Jeshi kubwa zaidi arabuni la USA lipo pale Qatar limepiga kambi. Qatar wajaribu kuifuata iran waone jinsi USA atakavyokinukisha kuliko Russia ilivyoifanya Crimea ya Ukraine
 
USAFCENT_CAOC.jpg
873874fa5e2b86cca61ad1de76b80e87.jpg


Hiyo ni US military base upande wa Air Force huko Qatar,
 
Haya mambo hata huwa sishabikii, ni kama nilivyo sina timu kwenye mpira (soka).
Unashupaa hatufungwi..gemu ikiisha, tatu.
Ooh tumesajili visu, dakika tisini zikiisha, tatu.

Unatumia vigezo gani kujihakikishia matamanio kuwa kweli? Yanaweza yakatokea au yasitokee mkuu.
 
Trump a.k.a tingatinga alihudhuria mkutano wa falme za waarabu. Hakumung'unya maneno kama mtangulizi wake Obama. Kikubwa aliwataka waufute ugaidi. Ofcause wale watu wa kebo nyuuz democrats CNN walidisi kua ugaidi hauwezi sepa. Huku Wakipewa sapoti ya propaganda na aljaziira.Naona wasaudi wamedhamiria kiukweli this time kuufuta.

Wademocrats wameanzisha propagada kua Kale ka Qatar katamfuat Iran na Hizbollah. Em wathubutu waone. !

Jeshi kubwa zaidi arabuni la USA lipo pale Qatar limepiga kambi. Qatar wajaribu kuifuata iran waone jinsi USA atakavyokinukisha kuliko Russia ilivyoifanya Crimea ya Ukraine
073a107026fb24d2f14197d0a3096969.jpg
Ust ivanka
 
Qatar akitaka anaweza sitisha mkataba na US na wakaondoka apo....Ukifatilia habari za US wamesema hawapendi mzozo wa Qatar na Saud uendelee kwan unaweza athiri na kupelekea US kuacha kuzilinda hizo nchi kwakuondoa Bases zake na kati ya nchi wanapofikilia kwenda labda ni UAE na Kuwait
 
Trump a.k.a tingatinga alihudhuria mkutano wa falme za waarabu. Hakumung'unya maneno kama mtangulizi wake Obama. Kikubwa aliwataka waufute ugaidi. Ofcause wale watu wa kebo nyuuz democrats CNN walidisi kua ugaidi hauwezi sepa. Huku Wakipewa sapoti ya propaganda na aljaziira.Naona wasaudi wamedhamiria kiukweli this time kuufuta.

Wademocrats wameanzisha propagada kua Kale ka Qatar katamfuat Iran na Hizbollah. Em wathubutu waone. !

Jeshi kubwa zaidi arabuni la USA lipo pale Qatar limepiga kambi. Qatar wajaribu kuifuata iran waone jinsi USA atakavyokinukisha kuliko Russia ilivyoifanya Crimea ya Ukraine


Na huu utaufuta wewe ???

 
Unamaanisha Donald Trump huyu Rais wa marekani?? Kama ni yeye anaitwa Donald John Trump
 
Back
Top Bottom