Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Kuwaamini wanasiasa ni kupoteza muda.... Hivi kweli watu wanakaa vikao kwa ajili ya kujadili maendeleo ya taifa, wanalipana mahela mengi, wanakaa vikao vya kujadili katiba, wanalipana mahela mengi ...
Linakuja suala ya kulipa kodi, watu hao hao wanasimama macho makavu bila aibu wanaanza kujivua nguo hadharani eti wao wasilipe kodi, hadi mkuu wao (rais) anatajwa kwenye wasiolipa kodi? Wale wenye kipato kikubwa sana (walitajwa bungeni); hawalipi kodi .. mara hii wanaangaika kuwafata walojenga vijumba vya kupangisha ili wajikimu na maisha magumu .. wanawabana eti walipe kodi.
Hivi watu hawa ni wanadamu au ni nini?
Hakika ubinadamu kazi ... kazi kwelikweli ....
KUMBE WATUNGA SHERIA NDIO WAVUNJA SHERIA????
Linakuja suala ya kulipa kodi, watu hao hao wanasimama macho makavu bila aibu wanaanza kujivua nguo hadharani eti wao wasilipe kodi, hadi mkuu wao (rais) anatajwa kwenye wasiolipa kodi? Wale wenye kipato kikubwa sana (walitajwa bungeni); hawalipi kodi .. mara hii wanaangaika kuwafata walojenga vijumba vya kupangisha ili wajikimu na maisha magumu .. wanawabana eti walipe kodi.
Hivi watu hawa ni wanadamu au ni nini?
Hakika ubinadamu kazi ... kazi kwelikweli ....
KUMBE WATUNGA SHERIA NDIO WAVUNJA SHERIA????