Kumbe ukinywa energy drinks huwezi sikia njaa

Nimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia

Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku

Leo Sina pesa kabisa ya kula.

Asanteni
Unashinda njaa ??
Wakati nimeona mahali unasema una business idea ya kutengeneza pesa ndefu.
 
Siyo umemtoa Kweli kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…