Sikununu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2015 Posts 341 Reaction score 101 May 28, 2015 Thread starter #21 Paulo Sergio De Souz said: Hii kitu wabongo tuko dedicated nayo kushinda hata Gynaecologist mwenyewe. Smh! Click to expand... Halafu mjomba kusema na ukweli kuna watu wanafaudu kweli kwenye kazi zao....maana uyu anakuwa kama mkemia mkuu lazima ajue ladha ya shahili
Paulo Sergio De Souz said: Hii kitu wabongo tuko dedicated nayo kushinda hata Gynaecologist mwenyewe. Smh! Click to expand... Halafu mjomba kusema na ukweli kuna watu wanafaudu kweli kwenye kazi zao....maana uyu anakuwa kama mkemia mkuu lazima ajue ladha ya shahili
Bob Roja Member Joined May 14, 2015 Posts 40 Reaction score 9 May 28, 2015 #22 Acha kazi asubuhi na mapema wahi dukani kwa Mangi
wa ukae JF-Expert Member Joined Aug 11, 2008 Posts 2,764 Reaction score 2,202 May 28, 2015 #23 Ahaaa ahaaaa vijana wa mujini
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,226 Reaction score 68,242 May 28, 2015 #24 Sasa kama hapo kwa Mangi tuu unashangaa hivyo, Ukienda Rombo si utazimia kaka.
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,374 Reaction score 38,248 May 29, 2015 #25 Alieturoga, katuweza
Kizzy Wizzy JF-Expert Member Joined Aug 2, 2013 Posts 3,280 Reaction score 3,791 May 29, 2015 #26 Bila shaka unaishi uswahilini kule kwa kina mwajuma ndala ndefuuuuu.................
Heron JF-Expert Member Joined Oct 4, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,804 May 29, 2015 #27 sasa huyu ndio mtanzanua halisi na IQ yake ndio hiyo
mountain JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 757 Reaction score 311 May 29, 2015 #28 Ushaur wangu ni kuhakikisha umemaliza dozi.
tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 12,054 Reaction score 16,507 May 29, 2015 #29 Nashndwa kuelewa,hizi story huwa zinaletwa na watu wazima au vitoto vya nursery school?
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,271 May 29, 2015 #30 Sasa hapo unaomba ushauri wa kufanya nini. Tuambie unataka nn ili tukupe ushauri
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 May 29, 2015 #31 Fanya urafiki na mangi hapo....
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 May 29, 2015 #32 Dah nahisi wewe ungekua mangi ungehonga duka lote ila usemayo ni ya kweli jamami uswazi kwetu kuna utamuuu wana makusudi haoo au sijui ndivyo walivyo yaani kama bata wamenona mkiani
Dah nahisi wewe ungekua mangi ungehonga duka lote ila usemayo ni ya kweli jamami uswazi kwetu kuna utamuuu wana makusudi haoo au sijui ndivyo walivyo yaani kama bata wamenona mkiani
bitebo7 JF-Expert Member Joined May 1, 2015 Posts 858 Reaction score 601 May 29, 2015 #33 Genye zikizidi kila anaepita mbele yako unamuona queen
dist111 JF-Expert Member Joined Nov 29, 2012 Posts 3,909 Reaction score 3,461 May 29, 2015 #34 hahahahaaha kaaaazi kwelikweli
Lee Cho in JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 941 Reaction score 693 May 29, 2015 #35 Mh hii ndo nch yetu
Fourier JF-Expert Member Joined Dec 24, 2014 Posts 218 Reaction score 76 May 29, 2015 #36 Siku Hizi Kila Mtu Anataka Ushaurii Hata Uwe Wa Kwenda Kufanya Tendo La Ndoa Na Mke Wake Yee Ataomba Tuu... Sikununu said: Naombeni ushauri nifanye nini hapa nilipo sijielewi Click to expand...
Siku Hizi Kila Mtu Anataka Ushaurii Hata Uwe Wa Kwenda Kufanya Tendo La Ndoa Na Mke Wake Yee Ataomba Tuu... Sikununu said: Naombeni ushauri nifanye nini hapa nilipo sijielewi Click to expand...
Sikununu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2015 Posts 341 Reaction score 101 May 29, 2015 Thread starter #37 tang'ana said: Nashndwa kuelewa,hizi story huwa zinaletwa na watu wazima au vitoto vya nursery school? Click to expand... Otea basi
tang'ana said: Nashndwa kuelewa,hizi story huwa zinaletwa na watu wazima au vitoto vya nursery school? Click to expand... Otea basi
Sikununu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2015 Posts 341 Reaction score 101 May 29, 2015 Thread starter #38 Heron said: sasa huyu ndio mtanzanua halisi na IQ yake ndio hiyo Click to expand... Mie sio mtanzanua ujue but im proud of my iq..... Ebu msome huyu.. Attachments 1432884874452.jpg 20.2 KB · Views: 119
Heron said: sasa huyu ndio mtanzanua halisi na IQ yake ndio hiyo Click to expand... Mie sio mtanzanua ujue but im proud of my iq..... Ebu msome huyu..
Heron JF-Expert Member Joined Oct 4, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,804 May 29, 2015 #39 sawa nimemsoma na nimemuona ahsante