Kumbe tunakosa mengi mtaani

Kumbe tunakosa mengi mtaani

Sikununu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
341
Reaction score
101
Baada ya kupata jeraha la kwenye nyugunyugu kutokana na kujifanya mie stalingi kama jaki chani kujaribu kila staili matokeo yake najiuguza wiki sasa nyumbani.

Kilichonifanya niwamegee hii info ni huu utaratibu nilioukuta mtaani kwangu baada ya kukaa wiki nzima bila kwenda kazini nikijiuguza nyugunyugu.yaani kumbe nilikuwa nakosa utamu asilani

Tokea juzi nimekaa kibalazani mbele kuna duka la mangi yaani hayo maua yanayokuja akya mungu raha tupu...wadada muda wote khanga moko uku hawajavaa hata pichu sasa sijui ndio wananipima unabii wangu....hayo madela ndio kabisaaa mpaka mwanaume mimi nimejua aina zote za madela mpaka ya mchina yale yanayonatia kwenye papuchi na wenzele kwa makusudi bila hata kuambiwa.

Jamani kumbe nilikuwa nakosa utamu na mtaani kuna mambo mazuri bila kutaraji...kweli wanaume tumeubwa mateso

Naombeni ushauri nifanye nini hapa nilipo sijielewi
 
hehehehehehe joke of the day,huyu nae anaomba ushauri:becky::becky::becky::becky:
 
Hii kitu wabongo tuko dedicated nayo kushinda hata Gynaecologist mwenyewe. Smh!
 
Hayoo ndiyo mawazo kwenye fikra za mtanzania
 
Hayoo ndiyo mawazo kwenye fikra za mtanzania

Aliyekwambia mimi mtanzania nani au na wewe ndio umekula yale maharage.....kajiandikishe kwenye BVR wewe au ndio wale midole gumba yenye sugu za kujishonyonta mpaka bvr zinagoma..
 
Andika barua ya kuacha kazi kazini kwako ili uwe kila siku unakaa hapo kibarazani kushuhudia "maua"
 
msimu wa mashule kufungwa jamani :bange:

Bado bwana ndio namalizia findings katika Dissertation yangu

Sio bange inaitwa herbs mpaka juzi Anna makinda kasema kitu cha njombe sio kikali kama cha Arusha
 
Back
Top Bottom