stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
majamaa wawili walikua wamevuta bhang na ikawakolea kwelikweli. Wakaambizana tutaendaje nyumbani wakat hatuoni vizur magar? Mwenzake akamwambia wew gar la kwanza kupita tu tunadandia sawa? Akamwambia sawa! Mwenzake akamuliza tena tutampa naul nan akamwambia mtu atakayekugusa tu unampa naul! Bas mawazo yakakubalika kwel hais ikaja wakapanda! Sasa wamefika kwenye tuta wakasukumana na jamaa mwingine mmoja wao akajisach akatoa nauli yule jamaa akamwambia mim sio konda akamwuliza kwann umenigusa akamwambia nilisukumwa. Akamwuliza kwan wew nan akasema mim ni nahodha. Akamgeukia jamaa yake akamwambia umenidanganya kumbe TUMEPANDA MELI.