Kumbe Skin Tight Maarufu!

Haionekani sana bana! 'Mama wa kwanza' oyeee!
Angetupia kama Mama Obama ungesemaje!

 
Haionekani sana bana! 'Mama wa kwanza' oyeee!
Angetupia kama Mama Obama ungesemaje!

mimi sikujua kama vazi hili linavaliwa na viongozi pia na kwa mila na desturi zetu huku kiongozi hawezi vaa kama Mama Obama na akatemdea mtaani kama hivyo.
 
Reactions: SMU
skin tight mbona ni vazi tu ila linavaliwaje ndio tatizo, hapo naona mamaa kaivaa ndani ya dira good.
 
skin tight mbona ni vazi tu ila linavaliwaje ndio tatizo, hapo naona mamaa kaivaa ndani ya dira good.

tatizo sio linavaliwaje, tatizo ni maumbile. Akivaa mdada mwenye flat skrini nyuma, tumbo mbele na miguu kama toothpick hamlalamiki. Sasa kama mtu mashaallah afanyeje!
 
mawazo mgando shida sana "kwani mtu kuwa kiongozi inabadilisha utu wake? ana mahitaji kama mtu mwingine, ana shida kama mtu yeyote, anaumwa kama wengine, anapenda na kupendwa kama wengine. Msiwanyanyapae viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…