Ally balowa
Member
- Apr 20, 2019
- 26
- 14
Haya
Kifua kinajaa harakaJiwe angalia, mengine wekaa kifuani.
Hakika ww una maelezo sahihi kuhusu hao jamaa na rais aliyepita. Je hili la Lissu, bensaa8 nk unalizungumziaje na huyu anayehusishwa?
Msimamo wangu ni kama Lissu siku alipohojiwa na BBC, Alisema Hana ushahidi wowote wa kuhusisha Serikal na Tukio lile
Alifanya hivyo kwenye msiba wa Masaburi, aliyekuwa meya wa Dar!Taarifa nyingi polisi hawawezi kuweka hadharani ila huyu jamaa hata kama anamjua mchepuko wako...atamsema tuu
Hivi Magufuli anadhani kupanga timu ya mpira ni kama uchaguzi wa marudio na vyama vya upinzani Tz? kwamba akiwa waziri wa michezo timu zetu zitashinda tu, kwa kuhonga refarii? au kwa kutumia Polisi? eeeh, polisi wanawakamata timu pinzani na timu yetu inafunga magoli!!!Rais Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa jijini Mbeya wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini humo iliyolenga kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.
Rais Magufuli amesema kuwa, "nimeambiwa Kyela kuna tatizo la umeme, kwamba umeme unakatikatika halafu kukatika kunaumiza sana, unakuta unaangalia mpira unakatika halafu goli ndiyo lilikuwa linaingia, na Waziri wa Michezo anatoka huku ingawaje kwenye timu ya vijana ameniangusha, yaani mpira uchezwe kwenye uwanja wako timu yako halafu mnatandikwa hapohapo yaani ajabu kweli".
"Vitu ambavyo vinaniboa ni kufungwa kwa timu zangu, huwa najisikia hovyo, natamani siku moja niwe Waziri wa Michezo halafu waone mimi nitakavyokuwa, timu nitaipanga mwenyewe" ameongeza Rais Magufuli.
Aidha kuhusiana na Waziri wa Habari, Utamaduni sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Rais Magufuli amesema kuwa huenda watu wengi wa Kyela wakawa hawamfahamu kiongozi huyo.
"Mwakyembe alikuwa Naibu Waziri wangu alinisumbua sana, amewahi kunyweshwa sumu akapelekwa nje kwa sababu ya kusimamia haki, inawezekana nyinyi hamumjui Mwakyembe." amesema Rais Magufuli
Anavyoongea utafikiri it was OK au jambo la kawaida tu.Hili la Mwakyembe nakumbuka lilikanushwa sana na vyombo vya dola na serikali kwa ujumla kuhusu kupewa sumu, tena watetezi wakasema tuviamini vyombo vyetu vya uchunguzi. Leo rais wa nchi anasema ilikuwa ni sumu? Je hawa tunaowataja kuhusu shambulio la Lissu tuendelee kuviamini hivyo vyombo vya dola? Je wanaotajwa na Lissu ni uongo?
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Na ukweli unatabia ya kumweka mtu huru.Rais Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa jijini Mbeya wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi jijini humo iliyolenga kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.
Rais Magufuli amesema kuwa, "nimeambiwa Kyela kuna tatizo la umeme, kwamba umeme unakatikatika halafu kukatika kunaumiza sana, unakuta unaangalia mpira unakatika halafu goli ndiyo lilikuwa linaingia, na Waziri wa Michezo anatoka huku ingawaje kwenye timu ya vijana ameniangusha, yaani mpira uchezwe kwenye uwanja wako timu yako halafu mnatandikwa hapohapo yaani ajabu kweli".
"Vitu ambavyo vinaniboa ni kufungwa kwa timu zangu, huwa najisikia hovyo, natamani siku moja niwe Waziri wa Michezo halafu waone mimi nitakavyokuwa, timu nitaipanga mwenyewe" ameongeza Rais Magufuli.
Aidha kuhusiana na Waziri wa Habari, Utamaduni sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Rais Magufuli amesema kuwa huenda watu wengi wa Kyela wakawa hawamfahamu kiongozi huyo.
"Mwakyembe alikuwa Naibu Waziri wangu alinisumbua sana, amewahi kunyweshwa sumu akapelekwa nje kwa sababu ya kusimamia haki, inawezekana nyinyi hamumjui Mwakyembe." amesema Rais Magufuli
Acha kumuita Rais wetu mropokaji... waheshimu watanzania...heshima kitu cha bureAchana na huyu mropokaji , siku akishika nyaraka za TISS hakawii kumwaga mchele kwenye kuku wengi maana mdomo hauna speed governer.
e waTaarifa nyingi polisi hawawezi kuweka hadharani ila huyu jamaa hata kama anamjua mchepuko wako...atamsema tuu
Usumbufu gani huo?"Mwakyembe alikuwa Naibu Waziri wangu alinisumbua sana, amewahi kunyweshwa sumu akapelekwa nje kwa sababu ya kusimamia haki, inawezekana nyinyi hamumjui Mwakyembe." amesema Rais Magufuli
Ajabu yaani watu wachague mtu ambaye hawamfahamu!!!! Au naye ni mmoja wa wabunge wa kutangazwa.Aidha kuhusiana na Waziri wa Habari, Utamaduni sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Rais Magufuli amesema kuwa huenda watu wengi wa Kyela wakawa hawamfahamu kiongozi huyo.
"Mwakyembe alikuwa Naibu Waziri wangu alinisumbua sana, amewahi kunyweshwa sumu akapelekwa nje kwa sababu ya kusimamia haki, inawezekana nyinyi hamumjui Mwakyembe." amesema Rais Magufuli
Kwamba hata kula cha usiku anashindwa!!??!!Huyu mzee akiona umati unamshangilia anawehuka kabisa na hata siri zake za chumbani ataongea tu
Umejuaje kama tukio analozungumzia Rais Magufuli ndio hilo hilo alilolizungumzia DCI Manumba?!