Nilishangaa sana siku ile man alivyocheza na chelsea,man walikuwa walishachapwa lakini cinema iliyofanyika hata za kihindi hazioni ndani,yaani aibu mtupu
Penalrti ya pili ilikuwa halali kutolewa. Kilichofanyika ni mbinu za mshambuliaji mahili aliyedhibitiwa na mabeki kutafuta njia mbadala za kuwahadaa na kuwaingiza mkenge walinzi mabwege ili wa-commit serious foul katika eneo la hatari. Kwa maneno mengine dogo alijirengesha na beki yule **** akaingia mkenge! Na huo ndio mpira..unadunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.