Kumbe mshenga wa jamaa ni Ex wa mke wake

Kumbe mshenga wa jamaa ni Ex wa mke wake

Inatokea hii
Ilinitokea mm kwa shemeji yenu. Nimeenda kuposa fresh sasa mm sitakagi mambo mengi nliwambia nitaenda peke yangu sina wa kunisindikiza. Sister ikabidi apige simu kwa amjirani akaletwa jamaa hata simjui ila ni ndugu wa mbali. Basi tukaenda bwana. Katika maongezi akamjua mchumbaangu wameendelea alivyoitwa mchumbangu akaulizwa unawajua hawa akasema ndio nawafahamu.
Tumemaliza mambo tukala tukaondoka. Jamaa asivyo na aibu akaniambia mdogo wangu hii nakwambia tu hapo hakuna mwanamke kama vipi chimba. Nishapita naye. Nliumia sana. Inshort dem alipita na ndugu zangu 2kabla ya kujuana na mm. But nlisamehe ila ni kitu kinanisumbua sana akili hadi leo tuna 14yrs ya ndoa. Na kimenivuruga sana kisaikolojia maana naona kama sina mke tu.
Acha uzembe yaani 14 yrs bado unawaza mambo ya kitoto? Sasa yeye mtu mzima anatongozwa na watu kwa hiyo ulitaka asitoe mzigo kwani wewe alikuwa anakujua? Wewe wakati unamfuata na kuyajenga Naye ilikuwa bikra? Yaani sisi wanaume sometimes sijui tunawazaga nini yaani MKE unaishi nae vizuri anakuheshimu kumbe wewe unafundo moyoni kwamba kwanini aliwahi kugawa Kwa wengine hivi upo serious kweli? Sasa ikitokea sasa hivi ukamfuma au ukapata tetesi kwamba Kuna mwamba anaekula Si utakufa on the spot? Acha ubwege wewe Jenga familia mpende mkeo kama unavyoupenda mchepuko wako
 
Wanajukwaa mko pouwa.
Du wanasemaga Dunia Ina mambo,mambo enyew ndyo haya aisee.Kuna mshkaji wangu tumemaliza naye zcul back in tym.Amekaa muda kweli hataki oa nikawa namshauri mara kwa mara wapi ,wajumbe wengine ikiwemo wazazi wakamshauri wapi ila juzi kati kafanikisha.Ila penyenye ambazo nataka kukupenyezea ni kwamba wiki mbili baada ya ndoa amebaini mshenga aliyemchagua ni X wa mkewe huyo japo hakuna kati yao aliyemtonya.Da Sasa wajumbe hili kitaalam likoje.Kumbuka hili ndilo eneo wife atakuja kulialia iwapo atapata changamoto yoyote huko ndoani kuja kupata ufumbuzi!
Mhhhhhhhhhhhh yangu macho🥱
Chai
 
Yaani...
Kuna demu halafu Kuna mshenga halafu Kuna jamaaa.
Sasa jamaa kamchukua mshenga kwenda kwa demu.
Kumbe demu ni x wa mshenga.....

NDOA NGUMU SANAAAA.

#YNWA
Hakuna shida sana ilimradi anamkabidhisha bucha fisi basi
 
Acha uzembe yaani 14 yrs bado unawaza mambo ya kitoto? Sasa yeye mtu mzima anatongozwa na watu kwa hiyo ulitaka asitoe mzigo kwani wewe alikuwa anakujua? Wewe wakati unamfuata na kuyajenga Naye ilikuwa bikra? Yaani sisi wanaume sometimes sijui tunawazaga nini yaani MKE unaishi nae vizuri anakuheshimu kumbe wewe unafundo moyoni kwamba kwanini aliwahi kugawa Kwa wengine hivi upo serious kweli? Sasa ikitokea sasa hivi ukamfuma au ukapata tetesi kwamba Kuna mwamba anaekula Si utakufa on the spot? Acha ubwege wewe Jenga familia mpende mkeo kama unavyoupenda mchepuko wako
konyola mvunje kiuno huyo.
 
Inatokea hii
Ilinitokea mm kwa shemeji yenu. Nimeenda kuposa fresh sasa mm sitakagi mambo mengi nliwambia nitaenda peke yangu sina wa kunisindikiza. Sister ikabidi apige simu kwa amjirani akaletwa jamaa hata simjui ila ni ndugu wa mbali. Basi tukaenda bwana. Katika maongezi akamjua mchumbaangu wameendelea alivyoitwa mchumbangu akaulizwa unawajua hawa akasema ndio nawafahamu.
Tumemaliza mambo tukala tukaondoka. Jamaa asivyo na aibu akaniambia mdogo wangu hii nakwambia tu hapo hakuna mwanamke kama vipi chimba. Nishapita naye. Nliumia sana. Inshort dem alipita na ndugu zangu 2kabla ya kujuana na mm. But nlisamehe ila ni kitu kinanisumbua sana akili hadi leo tuna 14yrs ya ndoa. Na kimenivuruga sana kisaikolojia maana naona kama sina mke tu.
Ulipoambiwa "Chimba" kwa nini haukuchimba?
Mmekaa miaka 14 unawaza upuuzi, angalau hata ungesema unahisi wanaendelea. Sasa ulipoo.
Huyo ni chaguo lako, kwani kwani kabla hamjawa wote si kila mmoja alikua na maisha yake!
 
Kuna watakuja kusema,

KATAA NDOA.

NDOA NI UTAPELI

NDOA NI BIASHARA HARAMU,

Sijui yupo wapi[emoji23][emoji23]
Ndoa ni utapeli. Kataa ndoa
Km siyo utapeli mbona jamaa kachanganyikiwa, kwanini asifurahi?
Muda siyo mrefu jamaa atagongewa
 
Back
Top Bottom