Kumbe mshenga wa jamaa ni Ex wa mke wake

Kumbe mshenga wa jamaa ni Ex wa mke wake

Didododi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
351
Reaction score
475
Wanajukwaa mko pouwa.
Du wanasemaga Dunia Ina mambo,mambo enyew ndyo haya aisee.Kuna mshkaji wangu tumemaliza naye zcul back in tym.Amekaa muda kweli hataki oa nikawa namshauri mara kwa mara wapi ,wajumbe wengine ikiwemo wazazi wakamshauri wapi ila juzi kati kafanikisha.Ila penyenye ambazo nataka kukupenyezea ni kwamba wiki mbili baada ya ndoa amebaini mshenga aliyemchagua ni X wa mkewe huyo japo hakuna kati yao aliyemtonya.Da Sasa wajumbe hili kitaalam likoje.Kumbuka hili ndilo eneo wife atakuja kulialia iwapo atapata changamoto yoyote huko ndoani kuja kupata ufumbuzi!
Mhhhhhhhhhhhh yangu macho🥱
 
Wanajukwaa mko pouwa.
Du wanasemaga Dunia Ina mambo,mambo enyew ndyo haya aisee.Kuna mshkaji wangu tumemaliza naye zcul back in tym.Amekaa muda kweli hataki oa nikawa namshauri mara kwa mara wapi ,wajumbe wengine ikiwemo wazazi wakamshauri wapi ila juzi kati kafanikisha.Ila penyenye ambazo nataka kukupenyezea ni kwamba wiki mbili baada ya ndoa amebaini mshenga aliyemchagua ni X wa mkewe huyo japo hakuna kati yao aliyemtonya.Da Sasa wajumbe hili kitaalam likoje.Kumbuka hili ndilo eneo wife atakuja kulialia iwapo atapata changamoto yoyote huko ndoani kuja kupata ufumbuzi!
Mhhhhhhhhhhhh yangu macho🥱
Jokajeusi anaweza kuwa na ushauri mzurii 😁
 
Wanajukwaa mko pouwa.
Du wanasemaga Dunia Ina mambo,mambo enyew ndyo haya aisee.Kuna mshkaji wangu tumemaliza naye zcul back in tym.Amekaa muda kweli hataki oa nikawa namshauri mara kwa mara wapi ,wajumbe wengine ikiwemo wazazi wakamshauri wapi ila juzi kati kafanikisha.Ila penyenye ambazo nataka kukupenyezea ni kwamba wiki mbili baada ya ndoa amebaini mshenga aliyemchagua ni X wa mkewe huyo japo hakuna kati yao aliyemtonya.Da Sasa wajumbe hili kitaalam likoje.Kumbuka hili ndilo eneo wife atakuja kulialia iwapo atapata changamoto yoyote huko ndoani kuja kupata ufumbuzi!
Mhhhhhhhhhhhh yangu macho🥱
Imekaa kama ile ya "vizuri na vinono kula na nduguzo kiroho poa"!
 
Wanajukwaa mko pouwa.
Du wanasemaga Dunia Ina mambo,mambo enyew ndyo haya aisee.Kuna mshkaji wangu tumemaliza naye zcul back in tym.Amekaa muda kweli hataki oa nikawa namshauri mara kwa mara wapi ,wajumbe wengine ikiwemo wazazi wakamshauri wapi ila juzi kati kafanikisha.Ila penyenye ambazo nataka kukupenyezea ni kwamba wiki mbili baada ya ndoa amebaini mshenga aliyemchagua ni X wa mkewe huyo japo hakuna kati yao aliyemtonya.Da Sasa wajumbe hili kitaalam likoje.Kumbuka hili ndilo eneo wife atakuja kulialia iwapo atapata changamoto yoyote huko ndoani kuja kupata ufumbuzi!
Mhhhhhhhhhhhh yangu macho🥱
Inatokea hii
Ilinitokea mm kwa shemeji yenu. Nimeenda kuposa fresh sasa mm sitakagi mambo mengi nliwambia nitaenda peke yangu sina wa kunisindikiza. Sister ikabidi apige simu kwa amjirani akaletwa jamaa hata simjui ila ni ndugu wa mbali. Basi tukaenda bwana. Katika maongezi akamjua mchumbaangu wameendelea alivyoitwa mchumbangu akaulizwa unawajua hawa akasema ndio nawafahamu.
Tumemaliza mambo tukala tukaondoka. Jamaa asivyo na aibu akaniambia mdogo wangu hii nakwambia tu hapo hakuna mwanamke kama vipi chimba. Nishapita naye. Nliumia sana. Inshort dem alipita na ndugu zangu 2kabla ya kujuana na mm. But nlisamehe ila ni kitu kinanisumbua sana akili hadi leo tuna 14yrs ya ndoa. Na kimenivuruga sana kisaikolojia maana naona kama sina mke tu.
 
Huyo mshenga atakua poa sana mana anajua strength and weakness za huyo mwanamke psychologically, socially, economically hadi mbususucally
 
Back
Top Bottom