Kumbe mliobahatika kwenda chuo mmekula kodi zetu zaidi ya 15Millions kila mmoja?

Kamnyomo

Senior Member
Apr 4, 2020
120
174
Jamani mtaani ni kugumu sana asikuambie mtu.Leo nilikuwa napiga stori na jamaa yangu mhitimu wa chuo X last year.Baada ya kupitia msoto wa kuonja joto la jiwe na soli za viatu kuisha, anasema amegundua hakuwahi kuwa smart katika kutumia pesa ya mkopo inayotolewa na Bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Zaidi anadaiwa zaidi ya 20Millions na hakufanya chochote cha maana zaidi ya ubishoo,pombe na starehe na kwasasa hana hata mia zaidi ya vyeti vyake.

Pia akatoa ushauri kwa Wadogo zetu mnaoingia chuo miaka hii,ile pesa ya bumu inatosha kabisa wewe kujiajiri baada ya kumaliza masomo,Anza kuweka kidogo kidogo utamshukuru baadae.

Mi5 tena atatoboa kweli?
 

NDIO TUMEKULA KODI ZETU-
UNAAMUA NINI SASA?!?!

MKUU,
KWA KIFUPI TU,
ILE HELA IKO MATHEMATICALLY CALCULATED KUKIDHI MAHITAJI YALIYOAINISHWA,
YAANI;
  • CHAKULA,
  • MALAZI,
  • ADA,
  • STATIONERIES,
  • MAFUNZO KWA VITENDO,
  • TAFITI (KWA BAADHI YA VYUO)
    &
    - MAHITAJI YA FAKATI MAALUM (KWA BAADHI YA KOZI).

    KWA WANAOITUMIA HELA ILE KWA MATUMIZI MENGINE TOFAUTI NA HAYO,
    KUNA SEHEMU HUWA WANAYUMBA KUFANIKISHA BAADHI YA NILIYOYATAJA HAPO JUU.

    NA BILA SHAKA KWA AKILI ZAKO WEWE UNADHANI KUWA WANACHUO HUPEWA HIZO MILIONI KADHAA KWA PAMOJA KIASI CHA MTU KUWEZA KUFANYIA MTAJI WA PROJECT KUBWA-

    HAIKO HIVYO,
    PESA ILE HUTOLEWA KWA AWAMU KILA BAADA YA MIEZI KADHAA,
    NA PESA YA ADA HULIPWA CHUONI MOJA KWA MOJA (HAPEWI MNUFAIKA),
    INAYOTOLEWA KWA PAMOJA HUWA HAIZIDI LAKI_SITA.

    "KAMWE USIFANYE MAKOSA MWAKA 2025,
    CHAGUA CHAUMMA ILI UPATE MLO WENYE LISHE BORA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI!!!"
 

NDIO TUMEKULA KODI ZETU-
UNAAMUA NINI SASA?!?!

MKUU,
KWA KIFUPI TU,
ILE HELA IKO MATHEMATICALLY CALCULATED KUKIDHI MAHITAJI YALIYOAINISHWA,
YAANI;
  • CHAKULA,
  • MALAZI,
  • ADA,
  • STATIONERIES,
  • MAFUNZO KWA VITENDO,
  • TAFITI (KWA BAADHI YA VYUO)
    &
    - MAHITAJI YA FAKATI MAALUM (KWA BAADHI YA KOZI).

    KWA WANAOITUMIA HELA ILE KWA MATUMIZI MENGINE TOFAUTI NA HAYO,
    KUNA SEHEMU HUWA WANAYUMBA KUFANIKISHA BAADHI YA NILIYOYATAJA HAPO JUU.

    NA BILA SHAKA KWA AKILI ZAKO WEWE UNADHANI KUWA WANACHUO HUPEWA HIZO MILIONI KADHAA KWA PAMOJA KIASI CHA MTU KUWEZA KUFANYIA MTAJI WA PROJECT KUBWA-

    HAIKO HIVYO,
    PESA ILE HUTOLEWA KWA AWAMU KILA BAADA YA MIEZI KADHAA,
    NA PESA YA ADA HULIPWA CHUONI MOJA KWA MOJA (HAPEWI MNUFAIKA),
    INAYOTOLEWA KWA PAMOJA HUWA HAIZIDI LAKI_SITA.

    "KAMWE USIFANYE MAKOSA MWAKA 2025,
    CHAGUA CHAUMMA ILI UPATE MLO WENYE LISHE BORA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI!!!"
Dah bora ufafanue wewe mkuu yaani kuna watu wanatuona waajabu et hela ulikuwa unafanyia nini??!! Ila laiti wangejua wasinge tuhukum hivyo. Laki Tano budget ya miez miwili ulipe kodi, stationary, msosi, bando LA kufanyia baadhi ya assignments, uvae, lectures wakupige hyohyo kwa kukuuzia machapisho ya kusoma (usipo nunu hupati koz work) yaani dah!! MNATUHUKUMU KIMAKOSA WAKUBWA ZETU!!
 
Dah bora ufafanue wewe mkuu yaani kuna watu wanatuona waajabu et hela ulikuwa unafanyia nini??!! Ila laiti wangejua wasinge tuhukum hivyo. Laki Tano budget ya miez miwili ulipe kodi, stationary, msosi, bando LA kufanyia baadhi ya assignments, uvae, lectures wakupige hyohyo kwa kukuuzia machapisho ya kusoma (usipo nunu hupati koz work) yaani dah!! MNATUHUKUMU KIMAKOSA WAKUBWA ZETU!!

NAAAAM,
WENGI WANAOTOA POVU KUHUSU MATUMIZI YA KWA WANACHUO,
HAWAJAPITIA HUO MFUMO-
WANAONGEA NA KULAUMU
KWA NADHARIA TU,

INGAWA PIA WAPO WANACHUO WENGI WASHENZI AMBAO HUHONGA NA KUNYWEA POMBE HIZO HELA NA KWISHA NDANI YA SIKU MBILI BADALA YA MIEZI MIWILI?!!
 

NDIO TUMEKULA KODI ZETU-
UNAAMUA NINI SASA?!?!

MKUU,
KWA KIFUPI TU,
ILE HELA IKO MATHEMATICALLY CALCULATED KUKIDHI MAHITAJI YALIYOAINISHWA,
YAANI;
  • CHAKULA,
  • MALAZI,
  • ADA,
  • STATIONERIES,
  • MAFUNZO KWA VITENDO,
  • TAFITI (KWA BAADHI YA VYUO)
    &
    - MAHITAJI YA FAKATI MAALUM (KWA BAADHI YA KOZI).

    KWA WANAOITUMIA HELA ILE KWA MATUMIZI MENGINE TOFAUTI NA HAYO,
    KUNA SEHEMU HUWA WANAYUMBA KUFANIKISHA BAADHI YA NILIYOYATAJA HAPO JUU.

    NA BILA SHAKA KWA AKILI ZAKO WEWE UNADHANI KUWA WANACHUO HUPEWA HIZO MILIONI KADHAA KWA PAMOJA KIASI CHA MTU KUWEZA KUFANYIA MTAJI WA PROJECT KUBWA-

    HAIKO HIVYO,
    PESA ILE HUTOLEWA KWA AWAMU KILA BAADA YA MIEZI KADHAA,
    NA PESA YA ADA HULIPWA CHUONI MOJA KWA MOJA (HAPEWI MNUFAIKA),
    INAYOTOLEWA KWA PAMOJA HUWA HAIZIDI LAKI_SITA.

    "KAMWE USIFANYE MAKOSA MWAKA 2025,
    CHAGUA CHAUMMA ILI UPATE MLO WENYE LISHE BORA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI!!!"
Wenghawajui UKWELI
 

NDIO TUMEKULA KODI ZETU-
UNAAMUA NINI SASA?!?!

MKUU,
KWA KIFUPI TU,
ILE HELA IKO MATHEMATICALLY CALCULATED KUKIDHI MAHITAJI YALIYOAINISHWA,
YAANI;
  • CHAKULA,
  • MALAZI,
  • ADA,
  • STATIONERIES,
  • MAFUNZO KWA VITENDO,
  • TAFITI (KWA BAADHI YA VYUO)
    &
    - MAHITAJI YA FAKATI MAALUM (KWA BAADHI YA KOZI).

    KWA WANAOITUMIA HELA ILE KWA MATUMIZI MENGINE TOFAUTI NA HAYO,
    KUNA SEHEMU HUWA WANAYUMBA KUFANIKISHA BAADHI YA NILIYOYATAJA HAPO JUU.

    NA BILA SHAKA KWA AKILI ZAKO WEWE UNADHANI KUWA WANACHUO HUPEWA HIZO MILIONI KADHAA KWA PAMOJA KIASI CHA MTU KUWEZA KUFANYIA MTAJI WA PROJECT KUBWA-

    HAIKO HIVYO,
    PESA ILE HUTOLEWA KWA AWAMU KILA BAADA YA MIEZI KADHAA,
    NA PESA YA ADA HULIPWA CHUONI MOJA KWA MOJA (HAPEWI MNUFAIKA),
    INAYOTOLEWA KWA PAMOJA HUWA HAIZIDI LAKI_SITA.

    "KAMWE USIFANYE MAKOSA MWAKA 2025,
    CHAGUA CHAUMMA ILI UPATE MLO WENYE LISHE BORA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI!!!"
Huu ndio ukweli hela ya boom sio hela,matumizi tu waliyoanisha wao hela yote inaisha
 

NAAAAM,
WENGI WANAOTOA POVU KUHUSU MATUMIZI YA KWA WANACHUO,
HAWAJAPITIA HUO MFUMO-
WANAONGEA NA KULAUMU
KWA NADHARIA TU,

INGAWA PIA WAPO WANACHUO WENGI WASHENZI AMBAO HUHONGA NA KUNYWEA POMBE HIZO HELA NA KWISHA NDANI YA SIKU MBILI BADALA YA MIEZI MIWILI?!!
Lawama zao zinaathiri vijana wengi kujihukumu na kujiona wanahatia baada ta kuhitimu. Me nadhani wanajamii wengi hawana uelewa kuhusu mikopo ya elimu ya juu, wao wana dhani mwanachuo hupewa mamilion yote mkononi kumbe ni shilingi laki tano tu tena kwa matumizi yote ya chuoni kwa miez miwili!!
 
Dah tufungue chuo mapema nimemiss boom🤣🤣 kwa ufupi watu wa kitaa wengi huongea vitu wasivyovijua tuwaasamehe
 
Wakati nasoma diploma nilikuwa napokea boom ya mzazi ya sh 10k ya kutumia kwa wiki mzima.

Nlkuwa nasoma fani inayohitaji vifaa sana mana sio nadharia kama masomo mengine na bahati mbaya sikuwa na hivyo vifaa zaid ya kuomba kwa watu au nitoe pesa ili niweze kufanya kazi za darasani na pesa hy inatoka hapo hapo kwenye hy 10k

Msosi nilikuwa nakula mara moja kwa siku wakati mwingine unapiga miayo then siku imeisha

Thanks God
 
Pesa hii ilinifanya niperform hovyo chuo kwa kuiona kubwa nikajipa majukumu makubwa Kama kusaidia wadogo zangu, na jamaa hivyo nikawa najibana kula vizuri Mwisho wa siku ufaulu ukawa hafifu.

Vijana tumieni hiyo kwa matumizi yalioyaainishwa Kama Ni ya kula usipangie mengine utaishi kwa shida na kupata msongo wa mawazo bure Ukiwa darasani.
 
Umeambiwa na nani kwamba hela ya boom ni kodi yako?? Ule ni mkopo na tutaulipa. Na kama ni kodi nimeanza kutoa toka nazaliwa na wazazi wangu wanatoa kodi.

Pili. Ile hela sio ya kuanzia biashara. Pesa imetolewa kwa ajili ya meals and accommodation na itatumika kwa ajili ya vitu hivyo.

Tatu. Kama hujapata nafasi ya kusoma usiwe na wivu sana kwa waliosoma maana hakuna aliyekukataza kuingia darasani ni uvivu wako tu.
 

NAAAAM,
WENGI WANAOTOA POVU KUHUSU MATUMIZI YA KWA WANACHUO,
HAWAJAPITIA HUO MFUMO-
WANAONGEA NA KULAUMU
KWA NADHARIA TU,

INGAWA PIA WAPO WANACHUO WENGI WASHENZI AMBAO HUHONGA NA KUNYWEA POMBE HIZO HELA NA KWISHA NDANI YA SIKU MBILI BADALA YA MIEZI MIWILI?!!
Mtu hana life-skills na discipline ya hela. Katoka tu highschool paaap unampa laki sita za matumizi, unadhan atazifanyia nini? Na nature ya hela kama haujaiozea ukiwa nayo inakuwasha sana.

Wengi wanastuka baadae sana na hauwezi kuwalaumu.
 
Alaf wanaolaumu hapa hawajawah ata kuishika hiyo hela... Ata nikipewa laki tano kwa miezi miwil matumizi ya kawaida haikidhi vizur japo itakidhi kwa kujibana
Nikiamua kula bata iishe after a week au wiki tatu ni mimi nimeamua kushindia mihogo mwezi unaofuata
NB. tusipangiane maisha
 
Wewe unashangaa million 15 ,Mimi nilikuwa nadaiwa million19,800,000/- Nimelipa imebaki mill 8 na laki 7 , Nimeamuwa kuacha kazi nimeona takufa masikini bora nifanyage ishu mtaani na kusimamia project zangu

Yani inshort Kama ulisoma kwa mkopo huwezi fanikiwa maishani mwako Yani mpaka uje umalize madeni yote utajikuta umefika umri wa kustafu
 
Lawama zao zinaathiri vijana wengi kujihukumu na kujiona wanahatia baada ta kuhitimu. Me nadhani wanajamii wengi hawana uelewa kuhusu mikopo ya elimu ya juu, wao wana dhani mwanachuo hupewa mamilion yote mkononi kumbe ni shilingi laki tano tu tena kwa matumizi yote ya chuoni kwa miez miwili!!
Kabisaaah hasa wazazi wasio na uelewa wanaishia kulaumu watoto, kumbe mambo yanakua tofaut na uhalisia.
 
Tulikopehswa na tumelipa zaidi ya hizo hatukula bure, Tumelipa Big time.
 
Wewe unashangaa million 15 ,Mimi nilikuwa nadaiwa million19,800,000/- Nimelipa imebaki mill 8 na laki 7 , Nimeamuwa kuacha kazi nimeona takufa masikini bora nifanyage ishu mtaani na kusimamia project zangu

Yani inshort Kama ulisoma kwa mkopo huwezi fanikiwa maishani mwako Yani mpaka uje umalize madeni yote utajikuta umefika umri wa kustafu
Kwasasa kuna NIDA. Inatumika kuanzia kusajiri kampuni, Uhamiaji Passportvmpaka ajira sekta binafsi. Labda uwe machinga kukwepa hilo deni
 
Back
Top Bottom