K Kijana wa Ifoza JF-Expert Member Joined Oct 31, 2025 Posts 500 Reaction score 966 Oct 31, 2025 #1 Ndugu yetu Mlawa miaka ya Jiwe alionekana kama ni mtu wa maana kumbe alikua tapeli shukrani Tundu Lissu kwa kumuumbua huyu tapeli. Leo naomba tuchangie uchawa wa huyu Tapeli mkuu aishiye uhamishoni
Ndugu yetu Mlawa miaka ya Jiwe alionekana kama ni mtu wa maana kumbe alikua tapeli shukrani Tundu Lissu kwa kumuumbua huyu tapeli. Leo naomba tuchangie uchawa wa huyu Tapeli mkuu aishiye uhamishoni
K Kijana wa Ifoza JF-Expert Member Joined Oct 31, 2025 Posts 500 Reaction score 966 Jun 23, 2026 Thread starter #2 Kijana wa Ifoza said: Ndugu yetu Mlawa miaka ya Jiwe alionekana kama ni mtu wa maana kumbe alikua tapeli shukrani Tundu Lissu kwa kumuumbua huyu tapeli. Leo naomba tuchangie uchawa wa huyu Tapeli mkuu aishiye uhamishoni View attachment 3496304 Click to expand... Yaani nikikumbuka huyu jamaa alikotoka na mpaka sasa kuwa chawa wa Wauaji siamini macho yangu
Kijana wa Ifoza said: Ndugu yetu Mlawa miaka ya Jiwe alionekana kama ni mtu wa maana kumbe alikua tapeli shukrani Tundu Lissu kwa kumuumbua huyu tapeli. Leo naomba tuchangie uchawa wa huyu Tapeli mkuu aishiye uhamishoni View attachment 3496304 Click to expand... Yaani nikikumbuka huyu jamaa alikotoka na mpaka sasa kuwa chawa wa Wauaji siamini macho yangu
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,731 Reaction score 99,609 Jun 23, 2026 #3 Kijana wa Ifoza said: Yaani nikikumbuka huyu jamaa alikotoka na mpaka sasa kuwa chawa wa Wauaji siamini macho yangu Click to expand... Ungeandaa kasimulizi kidogo tumfahamu.Ni nani?Kafanza nini? Laana yake aipataje?Na anaendeleaje na huo uhuni?
Kijana wa Ifoza said: Yaani nikikumbuka huyu jamaa alikotoka na mpaka sasa kuwa chawa wa Wauaji siamini macho yangu Click to expand... Ungeandaa kasimulizi kidogo tumfahamu.Ni nani?Kafanza nini? Laana yake aipataje?Na anaendeleaje na huo uhuni?