Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
AiseeHata style nying binadamu kaiga kwa wanyama
HatareeWANALAMBA CHUMVI MKUU.nasikia huko chini panaitwa chumvini
Sijawahi kufuga mbwahujui hiyo
Kwahiyo?!Shule zimefunguliwa jamani
KwakweliHao wanyama ni shida
JibuKwahiyo?!
Kwan sisi wanafunzi?!
Wanaposema binadamu ni mnyama wana maanisha mambo ka hayo ,tofauti yetu iko kwenye akili tuJibu
Utashi mkuuWanaposema binadamu ni mnyama wana maanisha mambo ka hayo ,tofauti yetu iko kwenye akili tu
Nilisikiaga kuwa mbwa zamani walikua ni watu, kuna kitu walifanya ndipo Mungu akawageuza kuwa mbwaBasi jana natoka zangu Malls nasubiri UBER ije nirudi nyumbani
Mbwa wawili wakapita wanakimbizana, mara Mbwa mmoja anampandia mwenzake kwa nyuma
Ambacho kimenishangaza zaidi ni kuona Mbwa kabla hajampanda Mbwa jike alianza kumlambalamba huku Chini!
Doh nilichoka, kumbe Mungu kaweka show zote za matusi zinafanana kwa binadamu na wanyama! ?
Uuuuwi kumbe Mbwa nao wananyonyana nyuchi?!
Kiru, Omandende Ndoroooboee
Nipo kwa Mangi hapa natafakari show ya Mbwa wa jana huku napata Castle Lite!