Vyombo vya ulinzi vya Iran na viongozi wao baada ya kuulizana wote wamesema hakuna mwenye taarifa ya kuwepo kwa mazungumzo na Marekani kama alivyosema raisi Trump ili kumalizia vita kati yao.
Kama madai hayo ni kweli basi Marekani tayari imepata ule ugonjwa tunaouona barabarani kwa watu wanaokuwa na upungufu wa akili pamoja na wale walliochanganyikiwa baada ya kupatwa na mkasa fulani,
Tamko la ugonjwa huo uliolipata taifa la Marekani limelotelewa na msemaji mkuu wa vikosi vya Khattam al anbiyai aitwaye Ebrahim Zolfaqari.