Kumbe Madiwani Wameshaanza Kujibu

Kumbe Madiwani Wameshaanza Kujibu

Zeni2017

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
1,247
Reaction score
534


Yaani siasa za Tanzania ni sawa na mtu anayetumia nguvu nyingi na muda kuonyesha kuwa ana pesa badala ya kutafuta pesa.

Malumbano hayaishi. Lini tutaona video za maendeleo yaliyofanywa na wabunge na madiwani katika maeneo yao ya kazi.
 
Jaza hizo nyama kwenye uzi wako kulingana na kichwa cha habari yako...
 
Chadema wanatia huruma! Ukiona walivyoongozana kwenda TAKUKURU msigwa,nasari na lema utafikiri watoto yatima
 
Kelele wewe, utajibu hayo mahakamani.
 
Kwasasa wapo wote wapo busy wanasutana umbea tu!!. Lisu anapambana na hali yake kule.....Tumuombee sana maana alisema msinyamaze!!
 
Ukweli wamwumbuka wanahitaji msaada wa tcra kudhibiti hizo picha harafu waishawishi mahakama kutotambua ushahidi wa picha kuwa ni wakutengeneza kwakuwa mahakama ni ya mkulu watashinda vinginevyo watu wazima wanaumbuka harafu kwanini hawakumfuata nassali na lema mara tu walivyo fanya mkutano kuua so
 
Huyo meya aliyenunuliwa hana jipya issue ya mabomu ya Soweto kuna watu walishakamatwa na kukiri na sasa wako jela yy anajitetea kwa kuleta habari ya kitoto
 


Yaani siasa za Tanzania ni sawa na mtu anayetumia nguvu nyingi na muda kuonyesha kuwa ana pesa badala ya kutafuta pesa.

Malumbano hayaishi. Lini tutaona video za maendeleo yaliyofanywa na wabunge na madiwani katika maeneo yao ya kazi.

haya maswali unamuuliza magufuli au unatuuliza sisi tunaoshangaa utendaji kazi wa magufuli na chama chake ccm?
 
UVCCM tulieni mbona mna anza kupanic mapema bado msigwa aje tuonesha madiwani wake walivyo pokea rushwa
 
Kama mmewahi kutumia digital camera, hili suala la mwaka 2008 kuonekana sio kitu cha kushangaza, usiposet muda basi default date ita-display. Kuna baadhi ya simu ukichomoa betri na ukiirudisha lazima uanze kuset saa na tarehe upya, usipofanya hivyo basi itaonyesha tarehe na mwaka ilotengenezwa. So msijipe matumaini kuwa huenda ni ya kutengeneza, Cha msingi ni maudhui ya kwenye video.

Sina shaka na video hata kidogo kwani sura na sauti zimeonekana clear
 
Back
Top Bottom