Hey people,
You caught me by surprise! Ninavoelewa mimi ni kuwa pale Mlimani kuna idara ... sijui faculty...kubwa ya ARTS (sikusoma mlimani) iliyo na madaktari na maprof wa ARTS, i do not know if you guys have the slightest idea the amount of harm mnayosababisha kwa waTz wenzetu hawa: dada zetu, kaka zetu, baba na mama zetu nk.
Utendaji mbovu wa mtu mmoja ni personal attribute na sidhan kama watu wote waliosoma/wanaosoma hiyo kozi wanastahili hizi kejeli au ndo "one bad apple spoils the barrel". Je, mnamaanisha idara hii ifungwe? Je, mnaelewa watu wanadai kuwa journalism ni kozi inayofanywa na watu waliofeli wakawa hawana pa kukimbilia?
Bwana acheni hizo, ni mambo ya kitoto na ukale kwamba: "nikikua nataka kuwa daktari", "mimi nataka kuwa mwanasheria", "mie rubani au injinia" ...... all stereotypes you know...wazee mnashikilia vitu hivi hadi utu uzima! duh basi ipo kazi....