Kumbe kweli serikali haikutaka Katiba Mpya...

Kumbe kweli serikali haikutaka Katiba Mpya...

dobolo

Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
47
Reaction score
8
hii imetokana baada ya kusomwa rasimu ya sitta na chenge,mambo yote 28 yaliyoachwa kutoka kwenye katiba ya warioba ndiyo yaliyokua yakisemwa na J.K wakat akizindua bunge la katiba,sasa najiuliza inamaana hofu iliokua ikielezwa na mkulu basi wabunge wote wameifuata na kufuta mambo muhimu sisi wananchi tuliyoyatoa mbele ya tume,kwa mwendo huu hawa wabunge wamekosa sifa ya kutuwakilisha sisi wananchi wao, badala wamefuata mawazo ya mtu mmoja/chama
 
Kwa tafsiri rahisi, CCM walienda na rasimu yao Dodoma na ndo hiyo wanayoipigia kura.
 
Wajinga ndio waliwao......hicho ni kielelezo tosha kwanini tu maskini na tuko nyuma kwa mambo mengi
 
Tumeshindwa kupata maendeleo kutokana na kufuata mkumbo , na tunafuata mkumbo kwa kuacha hata yale yaliyo mazuri mradi tu aliyesema ni mkulu. Kwa kubinafushisha huku akili zetu tutaendelea kuwa masikini daima dumu.
 
Tumeshindwa kupata maendeleo kutokana na kufuata mkumbo , na tunafuata mkumbo kwa kuacha hata yale yaliyo mazuri mradi tu aliyesema ni mkulu. Kwa kubinafushisha huku akili zetu tutaendelea kuwa masikini daima dumu.

mbunge aliwah kuhojiwa kwann wanataka serikali mbili akajibu mi mwenyewe sijui ila chama chetu kimetaka hivo
 
Back
Top Bottom