Njia 6 huku na huku njia 6, bongo mwaka gani itakua hivyo tunabanana na vinjia viwili mwendokasi? Njia 12 huku 6 na huku 6 bonge la njia msongamano kwisha kazi
Naona wanabana mafuta gari nyingi hapo nimezikagua cc ndogo sana sisi ambao mafuta yanatoka kwao ndio tupo na LC 200 V 8.. 1vd engine muda wote linaunguruma..