MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Wasalaam wanajukwaa!
Hii habari nimeosoma kwenye gazeti la CHANGAMOTO,Sijajua kuwa na lenyewe nalo limo mifukoni mwa baadhi ya wanasisasa au laa kama ilivyo kwa baadhi ya magazeti nchini! Sijazoea sana kilisoma hili gazeti lakini mtu ukiona kitu kinakushangaza mahali flani zalima ufuatilie na kuuliiza.
Hii habari ilikua inajaribu kuelezea litakalokua baraza la Mawaziri la Mh. Lowassa endapo atakua Rais wa nchi,Wametajwa Diana Chilolo, Karamagi,Tibaijuka, John Guninita na Dr. Edward Hosea naye yumo!
Lakini najiuliza huyu Dr. Hosseh si ndiye DG wa PCCB nchini? Au kuna Dr. Hosseah Mwingine?
Mh. Lowassa si ndiye anaandamwa sana na wanachama wenzie wa CCM Kwa kumtuhumu kujipatia Mali isivyo kuwa halali na anahonga kujipatia ushawishi kwa umma?
Hebu wadau tusaidiane ukweli wa hili jambo hasa kwa wale wanaomjua vizuri Dr. Hosseah.Hii combination ikoje? Kama ni kweli Dr. Hosseah anaitumikiaje nafasi yake hali yakuwa wale anaotakiwa kuwachunguza ndio maswahiba zake?
Hii habari nimeosoma kwenye gazeti la CHANGAMOTO,Sijajua kuwa na lenyewe nalo limo mifukoni mwa baadhi ya wanasisasa au laa kama ilivyo kwa baadhi ya magazeti nchini! Sijazoea sana kilisoma hili gazeti lakini mtu ukiona kitu kinakushangaza mahali flani zalima ufuatilie na kuuliiza.
Hii habari ilikua inajaribu kuelezea litakalokua baraza la Mawaziri la Mh. Lowassa endapo atakua Rais wa nchi,Wametajwa Diana Chilolo, Karamagi,Tibaijuka, John Guninita na Dr. Edward Hosea naye yumo!
Lakini najiuliza huyu Dr. Hosseh si ndiye DG wa PCCB nchini? Au kuna Dr. Hosseah Mwingine?
Mh. Lowassa si ndiye anaandamwa sana na wanachama wenzie wa CCM Kwa kumtuhumu kujipatia Mali isivyo kuwa halali na anahonga kujipatia ushawishi kwa umma?
Hebu wadau tusaidiane ukweli wa hili jambo hasa kwa wale wanaomjua vizuri Dr. Hosseah.Hii combination ikoje? Kama ni kweli Dr. Hosseah anaitumikiaje nafasi yake hali yakuwa wale anaotakiwa kuwachunguza ndio maswahiba zake?