Kumbe Diamond na Wema ni Wanamabadiliko:

Kumbe Diamond na Wema ni Wanamabadiliko:

Jamar Said

Member
Joined
Sep 2, 2015
Posts
19
Reaction score
35
Nimefurahishwa sana na hawa watu maarufu Tanzania kuwa mbele kwenye siasa za nchi yetu. Nimefurahishwa zaidi kuona wanataka mabadiliko ya kweli na sio bora mabadiliko..! Hongera Wema na Diamond.! ImageUploadedByJamiiForums1444462478.799922.jpg ImageUploadedByJamiiForums1444462491.366211.jpg
 
Wapumbavu kwa kuiga hawajambo inabidi wapumzishwe ccm ndo mumefilisika ubunifu kiasi hiki mfxiiiu
 
Toa huu upuuzi hapa

Hapa sio mahali pa umbeya WA Shigongo
 
Hivi wema dau lake limefikia ngapi?? manake kiuno chake kinanyegesha balaa.
 
Kwani lazima kuchangiaaaaa...?

Tumethubutuu na tumewezaaaa......

Na wavimbe wapasukee ti ti......
 
Back
Top Bottom