Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Jana kwenye madahalo ITV Tundu Lisu alionyesha umahiri mkubwa wa kueleimisha uma kwa nini CHADEMA haikubaliani na mchakato na mswada wa kuunda katiba mpya. Yule Mbunge wa CUF alikuwa kama anaota ndoto za alinacha maana hakuweza kujibu hoja yo yote kiufasaha akawa anamkodolea tu Tundu macho. Wakaambiwa wanandoa na magamba hivyo lazima mke amsupport mume. Bravo Tundu .You Rock commander.
Leo asubuhi Cuf wameamka na malalamiko kwamba chama chao kinakufa , maana viongozi wamejikita kwenye serikali zaidi kuliko kujenga chama. So kumbe the couples are dying simultenaeoulsy?
BTW yu wapi LIPUMBA?
Leo asubuhi Cuf wameamka na malalamiko kwamba chama chao kinakufa , maana viongozi wamejikita kwenye serikali zaidi kuliko kujenga chama. So kumbe the couples are dying simultenaeoulsy?
BTW yu wapi LIPUMBA?