Siku hizi hta zile kelele za mitano tena hazisikiki sanaChawa sasa hivi wamekuwa kimya sana..... Hatujawaziea hivi.....
Gentleman salam Mkuu Tlaatlaah 😌😌Wakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌.
Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana lihimidiwe, Shalom Aleykum.
View attachment 3563645
Halafu huyu ndugu alikuwa na haiba inayofanya watu waone kama ni mtu mwenye busara kweli kweli. Alivyokaa-kaa, anavyovaa, sauti yake na body language wakati anaongea. Utadhani ni mtu anayezungumza kitu cha maana, ukweli na busara sana. Kumbe anasema uongo wa mchana kweupe bila kujali utu wala nchi. Kweli duniani kuna watu wanafiki.😂🤣🤣🤣
Anapongeza mauaji ya halaiki basi ni halali watu kufurahia kifo chakeWakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌.
Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana lihimidiwe, Shalom Aleykum.
View attachment 3563645