brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Habari zenu wana Jf,
katika pitapita zangu weekend hii,nilipata bahati ya kuwatembelea wadada ambao nimeshakutana nao kitambo kidogo katika shughuli tofauti tofauti na huwa tunatembeleana ni kama kujenga urafiki na kujuana zaidi.Kama mnavojua maisha ya chuo kufulia kupo hivyo nilivyokuwa hapo ghetoni kwao maongezi yao yalionyesha kama financially hawako sawa kwa sasa.Kitu kilichonishangaza badae mmoja akakumbuka kuwa kuna njia wanaweza wakapata pesa na mtoko wikend hii.......duu zililetwa busness card nyingi za madanga{mapedeshee} wenye vyeo tofauti hapa jijini mwanza na mikoa mingine...looh nilishangaa zaidi nilipoambiwa wanauza pia busness card moja elfu 5...mmh this is so amaizing kwasababu kwa story zao wengine wameoa nikawa najiuliza ivi wanaume mmnawezaje kutoa business card kwa mtu usie mjua tena with full details......kwa style hii ukimwi utaisha kweli!!!!mbaba wa 50 yrs unampa busness card yako a 21 yrs gal unamaanisha nin ukimwambia akutafute.....mmh kumbe siku izi busness card ni habar ya mjini...kama ni mke apo usitake kujua mmeo kashagawa busness card ngap kwa totoz...wanaume badilikeni kwa wenye tabia izo
katika pitapita zangu weekend hii,nilipata bahati ya kuwatembelea wadada ambao nimeshakutana nao kitambo kidogo katika shughuli tofauti tofauti na huwa tunatembeleana ni kama kujenga urafiki na kujuana zaidi.Kama mnavojua maisha ya chuo kufulia kupo hivyo nilivyokuwa hapo ghetoni kwao maongezi yao yalionyesha kama financially hawako sawa kwa sasa.Kitu kilichonishangaza badae mmoja akakumbuka kuwa kuna njia wanaweza wakapata pesa na mtoko wikend hii.......duu zililetwa busness card nyingi za madanga{mapedeshee} wenye vyeo tofauti hapa jijini mwanza na mikoa mingine...looh nilishangaa zaidi nilipoambiwa wanauza pia busness card moja elfu 5...mmh this is so amaizing kwasababu kwa story zao wengine wameoa nikawa najiuliza ivi wanaume mmnawezaje kutoa business card kwa mtu usie mjua tena with full details......kwa style hii ukimwi utaisha kweli!!!!mbaba wa 50 yrs unampa busness card yako a 21 yrs gal unamaanisha nin ukimwambia akutafute.....mmh kumbe siku izi busness card ni habar ya mjini...kama ni mke apo usitake kujua mmeo kashagawa busness card ngap kwa totoz...wanaume badilikeni kwa wenye tabia izo