kumbe bittoret ipo vizur

kumbe bittoret ipo vizur

No More Drama

Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
95
Reaction score
19
wakuu
Leo nimejionea maajabu kwenye smart yangu nimepakua movie ya 1.08GB kwa dakika kama 27 hivi kwa kutumia bittorent pro cracked apk ambayo niliipata ONHAX na cha ajabu ujumbe wa kumaliza kwa 700mb zenye kasi uliingia ikiwa bado downloading haijamalizika lakini spidi iliendelea vilevile
Hii ni kwa Mara ya kwanza kudownload file kubwa kwa mda mchache
hahaha so nice
 
seems unamiss basic za seeder na leecher, na hio ya 700mb nafkiri unamaanisha voda, yeah ipo hivo as long as hutaidisconect.
ukidownload torrent hakikisha seeder (mara nyingi wapo ramgi ya kijani) wanakuwa wengi then itamaliza fasta fasta kama una speed nzuri
 
seems unamiss basic za seeder na leecher, na hio ya 700mb nafkiri unamaanisha voda, yeah ipo hivo as long as hutaidisconect.
ukidownload torrent hakikisha seeder (mara nyingi wapo ramgi ya kijani) wanakuwa wengi then itamaliza fasta fasta kama una speed nzuri

Ni kweli seeders wanatakiwa wawe wengi ili idownload fasta ila not always,kuna torrents za zamani say 2006 utakuta 1-5 seeders lakini cha ajabu speed nayo inakua kubwa sasa nadhani hii inatokana na strength ya ISP wako sio seeders and leechers alone.
 
Ni kweli seeders wanatakiwa wawe wengi ili idownload fasta ila not always,kuna torrents za zamani say 2006 utakuta 1-5 seeders lakini cha ajabu speed nayo inakua kubwa sasa nadhani hii inatokana na strength ya ISP wako sio seeders and leechers alone.

Ki theory seeder mmoja anaweza hudumumia mamilioni ya leecher as long as ana speed kubwa ya internet ya ku upload.

Hizo torrent za zamani unakuta seeder 1-5 lakini leecher unakuwa wewe tu inamaana watu watano wanamu uploadia mtu mmoja kwanini speed isiwe kubwa?

Tafuta torrent yenye leecher 100 na seeder 10 wenye internet kimeo uone itakavyokuwa slow. Hasa movie za kihindi
 
wakuu kumbe nilikua naukosa uhondo mkuu Chief-Mkwawa je nikiwa napakua kama mafile matatu hivi bila kudisconnect yataendelea kwa spidi ileile? au itagoma ili nianze kukitumia kifurushi effectively
 
Last edited by a moderator:
Ki theory seeder mmoja anaweza hudumumia mamilioni ya leecher as long as ana speed kubwa ya internet ya ku upload.

Hizo torrent za zamani unakuta seeder 1-5 lakini leecher unakuwa wewe tu inamaana watu watano wanamu uploadia mtu mmoja kwanini speed isiwe kubwa?

Tafuta torrent yenye leecher 100 na seeder 10 wenye internet kimeo uone itakavyokuwa slow. Hasa movie za kihindi
af mkuu naomba kujua maana ya leecher na seeder
 
wakuu kumbe nilikua naukosa uhondo mkuu Chief-Mkwawa je nikiwa napakua kama mafile matatu hivi bila kudisconnect yataendelea kwa spidi ileile? au itagoma ili nianze kukitumia kifurushi effectively
Kama una speed nzuri unaweza download hata zaidi ya gb 10 kwa siku. Usidisconect hilo ndio sharti lake. Ikidisconect yenyewe inakula kwako
 
Last edited by a moderator:
af mkuu naomba kujua maana ya leecher na seeder

Seeder ni watu wanaokutupia hilo file unalodownload na leecher ni wale wenzako wanaodownload hilo file kama wewe kwa wakati huo

seeders-to-leechers-ratio.png


Hii picha inaonesha
Seeder-896
Leecher-505

Hapa inamaanisha kuna watu 896 duniani wanaupload movie ya hobbit.

Na kuna watu 505 wanadownload movie ya hobbit.

Sababu wanao upload movie ni wengi na wanaodownload ni wachache then itakuwa na speed nzuri.

Kuelewa zaidi chunguza unapodownload torrent same time unakuwa una upload na torrent ikimaliza kudownload inaandika seeding yani pale unamu uploadia mwenzako
 
Kama una speed nzuri unaweza download hata zaidi ya gb 10 kwa siku. Usidisconect hilo ndio sharti lake. Ikidisconect yenyewe inakula kwako
asante mkuu kwa maujanja hayo kwa eneo langu spidi ipo juu sana sasa hivi nitaexploit data ipasavyo
 
Seeder ni watu wanaokutupia hilo file unalodownload na leecher ni wale wenzako wanaodownload hilo file kama wewe kwa wakati huo

seeders-to-leechers-ratio.png


Hii picha inaonesha
Seeder-896
Leecher-505

Hapa inamaanisha kuna watu 896 duniani wanaupload movie ya hobbit.

Na kuna watu 505 wanadownload movie ya hobbit.

Sababu wanao upload movie ni wengi na wanaodownload ni wachache then itakuwa na speed nzuri.

Kuelewa zaidi chunguza unapodownload torrent same time unakuwa una upload na torrent ikimaliza kudownload inaandika seeding yani pale unamu uploadia mwenzako

nimeelewa mkuu thanks
 
Seeder ni watu wanaokutupia hilo file unalodownload na leecher ni wale wenzako wanaodownload hilo file kama wewe kwa wakati huo

seeders-to-leechers-ratio.png


Hii picha inaonesha
Seeder-896
Leecher-505

Hapa inamaanisha kuna watu 896 duniani wanaupload movie ya hobbit.

Na kuna watu 505 wanadownload movie ya hobbit.

Sababu wanao upload movie ni wengi na wanaodownload ni wachache then itakuwa na speed nzuri.

Kuelewa zaidi chunguza unapodownload torrent same time unakuwa una upload na torrent ikimaliza kudownload inaandika seeding yani pale unamu uploadia mwenzako

Asante mkuu nimeelewa kitu leo kwa miaka kama mitatu m nadownload tu napokuta movie au series kwenye torrent lakini sifahamu hivo vitu.
 
Ahsante kwa elimu nimejifunza kitu,tnx.
Sasa ikianza ku seed nikicancel haina shida maana naona kama bundle itatumika twice?
 
Ahsante kwa elimu nimejifunza kitu,tnx.
Sasa ikianza ku seed nikicancel haina shida maana naona kama bundle itatumika twice?

Yap cancel kama bundle ni ndogo ila kama una bundle unlimited seed masaa kadhaa ili wenzako nao wadownload
 
Back
Top Bottom