Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Wakuu!
Zoezi la Uchukuaji Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge katika Majimbo Mkoani Geita limeanza, ambapo leo June 28, 2025 Mwambata kutokea katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Kulwa Biteko amewasili katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Geita na kuchukua fomu kwa lengo ya Kugombea Ubunge Jimbo la Katoro.
Kulwa Biteko ni pacha wa Dotto Biteko ambaye ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, amewasili katika Ofisi za Chama hicho na kupokelewa na Mwenyeji wake ambaye ni Katibu wa CCM wilaya ya Geita , Michael Msuya ambapo amemkabidhi fomu ya kugombea nafasi hiyo ya kuwawakilisha wananchi wa Jimbo jipya la Katoro.
Zoezi la Uchukuaji Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge katika Majimbo Mkoani Geita limeanza, ambapo leo June 28, 2025 Mwambata kutokea katika Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Kulwa Biteko amewasili katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Geita na kuchukua fomu kwa lengo ya Kugombea Ubunge Jimbo la Katoro.