Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 425
Hivi hakuna namna serikali inaweza kufanya ili kuwapunguzia mzigo wananchi wa Kigamboni wanaolazimika kulipia daraja wavuke kwenda kwao on a daily basis?
Serikali inaweza kulipa deni hilo kwa NSSF kupitia kodi za wananchi maana madaraja mengine yamejengwa kwa kodi za wote. Yaani mlipa kodi Kigamboni amechangia ujenzi wa daraja la Mkapa na Busisi, kwanini walipakodi wa huko wasichangie la Kigamboni?
Alternatively, orodha ya wananchi wanaoishi Kigamboni wanaopita na magari ingejulikana halafu wangekuwa wanalipa kwa mwaka hata 100,000/= halafu wanaepuka usumbufu wa kulipia kila siku.
Kazi iendelee
Serikali inaweza kulipa deni hilo kwa NSSF kupitia kodi za wananchi maana madaraja mengine yamejengwa kwa kodi za wote. Yaani mlipa kodi Kigamboni amechangia ujenzi wa daraja la Mkapa na Busisi, kwanini walipakodi wa huko wasichangie la Kigamboni?
Alternatively, orodha ya wananchi wanaoishi Kigamboni wanaopita na magari ingejulikana halafu wangekuwa wanalipa kwa mwaka hata 100,000/= halafu wanaepuka usumbufu wa kulipia kila siku.
Kazi iendelee