Nimeshangazwa na bodi ya uhasibu kuanza tena kuandika majina badala ya namba sijaelewa mantiki ya wanachokifanya
kwenye nn mkuu
huyu itakua kashikwa masomo karbia yote so ka PANIC, kwa mziki ule wa "tax+performance+audit+fa+fm" huwezi chomoa kwa akili zako za kichovu kama post yako hii,
Kwnye mitihan
167passed out of 1957 who set 4exam
Nimeshangazwa na bodi ya uhasibu kuanza tena kuandika majina badala ya namba sijaelewa mantiki ya wanachokifanya
Mkuu mbona ueleweki? Andika kwa ufasaha ueleweki. Wameanza kutumia majina badala ya namba kwenye nini?
167passed out of 1957 who set 4exam
167passed out of 1957 who set 4exam