BRUCE LEE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 2,096
- 1,332
Habari ndugu zangu wana JF?ama baada ya salam ninapenda kuuweka jamvini utata nilionao kuhusu bwana Sumaye Waziri mkuu mstafu wa serikali ya awamu ya tatu,mwaka 2005,alikua ni mwiba kwa kikwete kipindi cha kugombea kupendekezwa na chama cha mapinduzi ili kugombea urais, baada ya hapo nasikia alikwenda havard USA kusoma,lakini utata nilionao unatokana na ukimya wake wa muda mrefu si msikii kabisa simuoni kwenye mambo mbalimbali ya jk je wana bifu? Na pia ningependa ye ye sio fisadi?kwa maana haongelewi kabisa na sijaskia akihusishwa na scandle yeyote ile, pia vipi bado anampango wa kujaribu kugombea urais 2015?nitashkuru kama nitasaidiwa mawazo yenu kwa hayo yanayonitatiza. Natanguliza shukrani zangu za dhati.