Kulikoni huko Goma?

Kulikoni huko Goma?

mcndomba maprosoo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
225
Reaction score
94
naomba kujuzwa hizi habari zinazoelezwa huko Goma kama ni za ukweli ama, tafadhari kama kuna anayefahamu lolote atueleze
 
Si ungetupa hata hint kidogo ili tujue nini hasa unataka upatiwe taarifa
 
Au unazungumzia ya wananchi wa goma kufurahia tetesi kuwa kagame amefariki?
 
Ama msululu wa magari ya kijeshi yanayokwenda huko kwa mda wa wiki mbili sasa.?
 
naomba kujuzwa hizi habari zinazoelezwa huko Goma kama ni za ukweli ama, tafadhari kama kuna anayefahamu lolote atueleze

Ni za kweli kwamba iko ndani ya DRC na kuna watu wanaishi huko, pia kuna madini, misitu na mambo kadha wa kadha. Ni sehem nzuri pia kwa biashara ya utalii wa kivita za makundi ya silaha na mwisho ni kweli kabisa kundi la M23 lilikua likiumiliki huo mji baada ya kuuteka toka kwa serikali ya DRC.

Inatosha au bado niendelee kufunguka kuhusu populations and gender count??
 
Mh!we jamaa mchokozi au mchochezi wenzako chama la wezi wako full propaganda pro uwizi chama la watu chama la watu ni bahati wanaongoza wafu ...........nimeuzingonda meku!...................ololoooo
 
hili hasa ndilo jambo lenyewe maana nimeona wanajamvi hawajalidodosa hili, kamilisha sasa umepataje habari hii mkuu
 
Back
Top Bottom