Wapangishaji hamna. Gharama za matangazo ni kubwa.
Ukipata muda chunguza MAGARI YA TBL, COKE , AZAM utaona siku hizi hayana maturubai yenye mapicha picha ya vinywaji au unakutwa yamefutwa kwa kupigwa rangi kwa juu. Hii yote ni baada ya gharama kupanda.