Takribani mwezi mzima sasa gazeti hili halipatikani mtaani.Nakumbuka baada ya kuanza sakata la Manji na kutuhumiwa utumiaji wa madawa ya kulevya gazeti la JamboLeo ndio likapotea jumla.
Je wafanyakazi wake wanaishije sasa
Mwenye taarifa atujuze
Takribani mwezi mzima sasa gazeti hili halipatikani mtaani.Nakumbuka baada ya kuanza sakata la Manji na kutuhumiwa utumiaji wa madawa ya kulevya gazeti la JamboLeo ndio likapotea jumla.
Je wafanyakazi wake wanaishije sasa
Mwenye taarifa atujuze