KULIKONI GAZETI LA JAMBO LEO

masare

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
2,250
Reaction score
2,093
Takribani mwezi mzima sasa gazeti hili halipatikani mtaani.Nakumbuka baada ya kuanza sakata la Manji na kutuhumiwa utumiaji wa madawa ya kulevya gazeti la JamboLeo ndio likapotea jumla.

Je wafanyakazi wake wanaishije sasa
Mwenye taarifa atujuze
 
Takribani mwezi mzima sasa gazeti hili halipatikani mtaani.Nakumbuka baada ya kuanza sakata la Manji na kutuhumiwa utumiaji wa madawa ya kulevya gazeti la JamboLeo ndio likapotea jumla.

Je wafanyakazi wake wanaishije sasa
Mwenye taarifa atujuze
Tatizo walianzisha ugomvi wa mawe wakati wanaishi Nyumba ya vioo.
 
jamaa wamepata misukosuko so nafikir wameona wawe kwenye kipindi cha mpito wakiomboleza madhira alopata Bwana Kubwa
 
Ngosha kafunga acnt zote za Mangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…