surubu kwetu
Member
- May 13, 2014
- 59
- 12
Nimekuwa nakula na kunywa damu ya mbuzi,kondoo,ng'ombe pindi tunapochinja. Je kuna madhara ya kiafya?
We unasema ya mbuzi na kondoo
Mimi napiga ya nguruwe na sungura
MADHARA YAKE NI KWAMBA HAUTAFIKA 2014 UKIWA NA ID HIINimekuwa nakula na kunywa damu ya mbuzi,kondoo,ng'ombe pindi tunapochinja. Je kuna madhara ya kiafya?