Kukua kwa sayansi na teknolojia kumefanya medani ya Vita kukosa ladha halisi

chazachaza

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
2,829
3,824
Kuna m soldier mmoja rafiki yangu aliwahi,kuniambia siku moja tukiwa tunakula moja Moto,moja baridi ya kuwa , boredom is more dangerous than bullets in battle field. Nikamjibu aise acha masihara ,huwezi kulinganisha kuwa boadi na battle msituni!!

Jamaa akacheka ,akasema hujui kuwa battle ni tamu Sana ,kuliko kukaa bila Jambo la kufanya.akaongezea kuwa Vita ni arts Kama arts zingine ,na inautamu wake hasa ukiwa kwenye battle,ile kulengana shabaha na milio ya bullets ni mchezo mtamu Sana kwa soldier's yeyote Yule,Ila akasema kwa Sasa sayansi imeifanya art hii ya Vita imekosa au imepungua Radha yake halisi tofauti na zamani .

Ni kama namuelewa huyu m soldier .


JamiiForums-1020185604.jpg
JamiiForums-828802056.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameona muda mwingi unapotea kwa kuwindana kama wanyama so morden weapons zinarahisisha kumaliza kazi ili maisha yaendelee.

Yaani wakati sayansi inakimbia nyie bado mnataka kubaki 100yrs back, mpigane mwezi mzima siyo?.
 
Hayo ni maoni ya private mlevi na mwenye elimu ya darasa la saba.

Nadhani kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake.
 
Katika vita ya Urus na Ukrain nimejifunza kitu kuhusu umuhimu wa wanajeshi wa ardhini.

Pamoja na teknolojia ya silaha, ila wanajeshi wa ardhini ni muhimu sana, kwani kuna muda inabidi mpambane uso kwa uso. Kwa mfano mijini kwenye majengo mengi huwezi kupiga mabomu tu, inabidi zichapwe ana kwa ana.

Kwa mfano, inasemekana wanajeshi wa Urusi wameshindwa kupambana na wanajeshi wa Ukrani mijini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Katika vita ya Urus na Ukrain nimejifunza kitu kuhusu umuhimu wa wanajeshi wa ardhini.

Pamoja na teknolojia ya silaha, ila wanajeshi wa ardhini ni muhimu sana, kwani kuna muda inabidi mpambane uso kwa uso. Kwa mfano mijini kwenye majengo mengi huwezi kupiga mabomu tu, inabidi zichapwe ana kwa ana.

Kwa mfano, inasemekana wanajeshi wa Urusi wameshindwa kupambana na wanajeshi wa Ukrani mijini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
"Inasemekana"
 
Katika vita ya Urus na Ukrain nimejifunza kitu kuhusu umuhimu wa wanajeshi wa ardhini.

Pamoja na teknolojia ya silaha, ila wanajeshi wa ardhini ni muhimu sana, kwani kuna muda inabidi mpambane uso kwa uso. Kwa mfano mijini kwenye majengo mengi huwezi kupiga mabomu tu, inabidi zichapwe ana kwa ana.

Kwa mfano, inasemekana wanajeshi wa Urusi wameshindwa kupambana na wanajeshi wa Ukrani mijini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aiseee.
Screenshot_20220329-215255.jpg
 
Katika vita ya Urus na Ukrain nimejifunza kitu kuhusu umuhimu wa wanajeshi wa ardhini.

Pamoja na teknolojia ya silaha, ila wanajeshi wa ardhini ni muhimu sana, kwani kuna muda inabidi mpambane uso kwa uso. Kwa mfano mijini kwenye majengo mengi huwezi kupiga mabomu tu, inabidi zichapwe ana kwa ana.

Kwa mfano, inasemekana wanajeshi wa Urusi wameshindwa kupambana na wanajeshi wa Ukrani mijini.



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Vita ya mjini huwa haina mbabe,pale huwa ni kuviziana tu.
 
huyo soja atakuwa wa darasa la saba ajui kucheza na batani za mitambo, waliosoma wana enjoy utamu wa vita yani wametulia wanabofya computer tu makombola yanafyatuka kama wanacheza video game vile. bado wale wa kuhack system za maadui yani kama ujasoma jeshi la leo halina raha kabisa utabaki mbeba totali na kulinda kota za jeshi raia wasikatishe.
 
Back
Top Bottom