Mambo vipi wadau, naitwa
Snitch2020
Nafanya biashara ya kuuza kuku wa kienyeji na bei zake ni kuanzia 13000. kuku ni wakubwa na wazuri. Nawatoa Iringa,Dodoma na Singida.
kuku nauza kwa order kuanzia Kuku 30 na kama utahitaji zaidi tutaongea. Kumbuka unatoa Order nakuletea. sina kuku nyumbani kwangu hivyo huwa nakwenda Kuwafuata mara 2 kwa wiki. karibuni sana PM hata hapo kwa comments kwa maelezo zaidi. Tangazo hili linawahusu watu wa Morogoro na Dar es salaam tu
Wako katika Ujenzi wa Taifa la viwanda
Snitch2020[/QUOT
weka namba ya simu