Kuku wa asili wanauzwa 20,000

Kuku wa asili wanauzwa 20,000

tajirisana

Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
83
Reaction score
23
Kuku wapo Bunju, wako 300 unayehitaji nicheki kwenye 0788684574

1457934086992-jpg.329579
 

Attachments

  • 1457934086992.jpg
    1457934086992.jpg
    67.9 KB · Views: 236
  • 1457934110807.jpg
    1457934110807.jpg
    80.1 KB · Views: 90
Samahani hujatoa maelezo ya kutosha ndio maana watu hawajachangia uzi wako je hiyo 20000 ni kuku mmoja au?
 
tafiki uliona wapi kuku wanauzwa kwa mafungu hio bei ni ya mmoja
 
Kuku wapo Bunju, wako 300 unayehitaji nicheki kwenye 0788684574

1457934086992-jpg.329579
Mkuu mimi nahitaji mayai ya kuku asili kama unayo kiwango chochote nitachukua.

Nitakupa oda kila wiki.

Mayai yawe nambegu na yawe hayajazidi wiki tokea kuzaliwa( kutagwa)
 
Mkuu pia unaweza piga hii namba

0713 328 978

Nahitaji mayai ya kuku wa asili wasiwe chotara.
Na mayai nahitaji kwa kutotolesha lazima yawe ni Maya (yasizidi wiki moja tokea kuzaliwa)
 
Back
Top Bottom