young prof
Member
- Sep 20, 2012
- 37
- 11
Kuna mtu anahitaji kuanza hii biashara wakuu,anahitaji kuku wa kienyeji machotara wanaokaribia kuanza kutaga kama 40 hvi,mwenye nao au kujua wanapopatikana msaada tafadhali
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums