Kuku Kula Mayai Husababishwa Na Sababu Kuu Nne(4 ) : -
1.Upungufu Wa Kalishiamu (Ca).
2.Upungufu Wa Madini Ya Potashiamu (Ka).
3.Kulisha Chakula Kichache (Underfeeding).
4.Tabia Mbaya (Vices)
Tiba:-
1.Kalishiamu.Tumia Chumvi, Dcp,chokaa Au Mifupa Kama Wanakula Mayai Na Kudonoana Manyoya.
2.Potashiamu.Wapatie Majani Yakutosha Pamoja Na Mifupa Kama Wanakula Mayai Na Manyoya Yao Kuwa Rafu.
4.Tabia Mbaya.Wakate Midomo Na Kuwapunguza Kwenye Banda Kama Wamebanana Na Wanakula Mayai.
3.Kulisha Chakula Kichache.Ongeza Kipimo Cha Chakula Kama Wanakula Mayai Na Wamepungua Uzito.
Credited to Christophambinda blogspot