kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 813
Wakuu habari poleni na majukum ya kitaifa!!!
Ase naombeni msaada nina kuku wa kienyeji matetei 30 na majogoo 4 tatizo hawa kuku nahisi kama kuna mtu ananichezea kwenye kuku wangu yani kuku wanakula chakula cha kutosha pia nawafungulia njee wanaokata wadudu na wanakula majani kifupi wanakula na kushiba vzr tu chaajabu hawa kuku hawatagi vzr kabisa na wakitaga majogoo pamoja na matetei wanakunywa mayai nina miezi sita sijawahi kupata ata kifaranga kupitia kuku hawa
Eneo nawafugia ni zuri sana chumba kikubwa kina hewa ya kutosha pia napuliza dawa naposafisha banda lakini cha ajabu hawatagi vzr kabisa.
Kuku wenyewe ni wakienyeji
Wajumvi wa ufugaji naomba mnisaidie nifanye nn hawa kuku waache kunywa mayai na watage vzr na kutotoa mayai?
Ase naombeni msaada nina kuku wa kienyeji matetei 30 na majogoo 4 tatizo hawa kuku nahisi kama kuna mtu ananichezea kwenye kuku wangu yani kuku wanakula chakula cha kutosha pia nawafungulia njee wanaokata wadudu na wanakula majani kifupi wanakula na kushiba vzr tu chaajabu hawa kuku hawatagi vzr kabisa na wakitaga majogoo pamoja na matetei wanakunywa mayai nina miezi sita sijawahi kupata ata kifaranga kupitia kuku hawa
Eneo nawafugia ni zuri sana chumba kikubwa kina hewa ya kutosha pia napuliza dawa naposafisha banda lakini cha ajabu hawatagi vzr kabisa.
Kuku wenyewe ni wakienyeji
Wajumvi wa ufugaji naomba mnisaidie nifanye nn hawa kuku waache kunywa mayai na watage vzr na kutotoa mayai?