Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,576
- 2,218
Kampuni ya Backyard ni wazalishaji bora wa kuku wa kienyeji na chotara hapa nchini. tunao kuku wazuri wenye record nzuri ya utagaji pia na uzito wa juu ndani ya muda mfupi.
kuku wetu ni mchanganyiko wa Black australorps, wanao taga wastani wa mayai 309 kwa mwaka kwa uzao wa kwanza, na wastani wa mayai 233 kwa uzao wa pili kwa mwaka. Kuku hawa hufikia uzito wa kilo 4.2 kwa majogoo na kilo 3.2 kwa matetea.
pia tunao Rhode island red, wenye manyoya mekundu kuelekea rangi ya kahawia. kuku hawa hutaga wastani wa mayai 292 kwa mwaka na hifukia kilo 3.9 kwa majogoo na kilo 3 kwa matetea.
tuna aina ya sussex pia, the aseel, kenbro pamoja na naked neck chicks. kuku wetu ni kwaajili ya mbegu, nyama na utagaji wa mayai.
Gharama za vifaranga hivi ni shilingi 180,000 kwa box la vifaranga 100. Hivyo wastani wa shilingi 1800 kwa kila kifaranga.
Kwa wateja wa mikoani tutatuma mzigo mpaka wilaya uliyopo kwa gharama za mteja mwenyewe.
Kuku wa kienyeji aina ya Sasso wataanza kupatikana hivi punde. hawa hufikia kilo 4 ndani ya siku 80 tu. wengi huwaita ni broiler wa kienyeji.
tunapatikana Tegeta Bahari beach. pia tunakaribisha mawakala nchi nzima.
mawasiliano :0755815174
kuku wetu ni mchanganyiko wa Black australorps, wanao taga wastani wa mayai 309 kwa mwaka kwa uzao wa kwanza, na wastani wa mayai 233 kwa uzao wa pili kwa mwaka. Kuku hawa hufikia uzito wa kilo 4.2 kwa majogoo na kilo 3.2 kwa matetea.
pia tunao Rhode island red, wenye manyoya mekundu kuelekea rangi ya kahawia. kuku hawa hutaga wastani wa mayai 292 kwa mwaka na hifukia kilo 3.9 kwa majogoo na kilo 3 kwa matetea.
tuna aina ya sussex pia, the aseel, kenbro pamoja na naked neck chicks. kuku wetu ni kwaajili ya mbegu, nyama na utagaji wa mayai.
Gharama za vifaranga hivi ni shilingi 180,000 kwa box la vifaranga 100. Hivyo wastani wa shilingi 1800 kwa kila kifaranga.
Kwa wateja wa mikoani tutatuma mzigo mpaka wilaya uliyopo kwa gharama za mteja mwenyewe.
Kuku wa kienyeji aina ya Sasso wataanza kupatikana hivi punde. hawa hufikia kilo 4 ndani ya siku 80 tu. wengi huwaita ni broiler wa kienyeji.
tunapatikana Tegeta Bahari beach. pia tunakaribisha mawakala nchi nzima.
mawasiliano :0755815174