Kuku aina ya malawi (black Australorp)

Kuku aina ya malawi (black Australorp)

kidevu013

New Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2
Reaction score
1
KUKU AINA YA BLACK AUSTRALORP ( HUFAAMIKA KAMA KUKU WA MALAWI)
- hutaga mayai mengi 280-300 kwa mwaka
- hupevuka mapema ndani ya miezi 4.5 tangu kifaranga
- hutumia wastani wa gramu 125 za chakula akiwa mkubwa
- hawatamii
- asili yao ni Australia
- huvumilia hali ngumu na magonjwa
- wanafugika kienyeji pia.
*Karibu jipatie kifaranga wa siku moja kwa 2000/-* tunapatikana Arusha Tanzania, vifaranga ni kila siku ya jumamosi. Mikoani tunasafirisha kwa gharama za mteja.
0752831230

IMG-20200726-WA0052.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom