SOVIET UNION JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 510 Reaction score 1,402 Sep 17, 2017 #1 Habari wakuu, nahitaji sana hawa kuku aina ya KARI nasikia wanataga sawa sawa na kuku wa kisasa wa mayai na wako developed na Serikali ya Kenya. Naomba mwenye nao au mwenye contact za CHasha make ndo nimeambiwa anao huko Arusha
Habari wakuu, nahitaji sana hawa kuku aina ya KARI nasikia wanataga sawa sawa na kuku wa kisasa wa mayai na wako developed na Serikali ya Kenya. Naomba mwenye nao au mwenye contact za CHasha make ndo nimeambiwa anao huko Arusha
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,117 Reaction score 16,500 Sep 18, 2017 #2 Kenya Agricultural Research Institute...hao kuku wazuri sana.
Xystus JF-Expert Member Joined Sep 16, 2017 Posts 292 Reaction score 332 Sep 19, 2017 #3 https://www.facebook.com/
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Sep 19, 2017 #4 Chasha Poultry Farm mkuu njoo tusaidie tafadhali.....
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Sep 19, 2017 #5 Hao ni KARI hao kuku ni badala ya layers kwenye utagaji. Kenya wanawafuga sana on behalf of Layers
Xystus JF-Expert Member Joined Sep 16, 2017 Posts 292 Reaction score 332 Sep 19, 2017 #6 Chasha Poultry Farm said: Hao ni KARI hao kuku ni badala ya layers kwenye utagaji. Kenya wanawafuga sana on behalf of Layers Click to expand... Wanapatikanaje arusha
Chasha Poultry Farm said: Hao ni KARI hao kuku ni badala ya layers kwenye utagaji. Kenya wanawafuga sana on behalf of Layers Click to expand... Wanapatikanaje arusha
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Sep 19, 2017 #7 Xystus said: Wanapatikanaje arusha Click to expand... yes unaweza.wapata Arusha mkuu
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Sep 20, 2017 #9 Xystus said: Sehemu gan Click to expand... Kisongo
Kabaunyeri Member Joined Apr 5, 2012 Posts 38 Reaction score 36 Sep 20, 2017 #10 Chasha Poultry Farm said: Kisongo Click to expand... Mkuu je unao? nawapate kwa dar?
msukuma fekero JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 2,386 Reaction score 3,150 Sep 20, 2017 #11 Chasha Poultry Farm said: Kisongo Click to expand... Kisongo kubwa mkuu tupiamo na macontact mkuu pamoja na bei
Chasha Poultry Farm said: Kisongo Click to expand... Kisongo kubwa mkuu tupiamo na macontact mkuu pamoja na bei
msukuma fekero JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 2,386 Reaction score 3,150 Sep 20, 2017 #12 Chasha Poultry Farm said: Kisongo Click to expand... Kisongo kubwa mkuu ungetupiamo macontact na jinsia ya bei yako
Chasha Poultry Farm said: Kisongo Click to expand... Kisongo kubwa mkuu ungetupiamo macontact na jinsia ya bei yako
T Travoo JF-Expert Member Joined Oct 30, 2014 Posts 397 Reaction score 483 Oct 4, 2017 #13 Mwanza kuna mtu anaefuga hawa KARI??
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Oct 5, 2017 #14 msukuma fekero said: Kisongo kubwa mkuu ungetupiamo macontact na jinsia ya bei yako Click to expand... Jirani na St Magreth mkuu
msukuma fekero said: Kisongo kubwa mkuu ungetupiamo macontact na jinsia ya bei yako Click to expand... Jirani na St Magreth mkuu
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Oct 5, 2017 #15 Travoo said: Mwanza kuna mtu anaefuga hawa KARI?? Click to expand... Sijajua mkuu
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Oct 5, 2017 #16 Kabaunyeri said: Mkuu je unao? nawapate kwa dar? Click to expand... Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti
Kabaunyeri said: Mkuu je unao? nawapate kwa dar? Click to expand... Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Oct 6, 2017 #17 Chasha Poultry Farm said: Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti Click to expand... Sawa sawa mkuu je unauzaje hapo kwako na mpaka waanze kutaga wanachukua mda gani hasaaa??me nipo dar nawahitaji hao....
Chasha Poultry Farm said: Unasafirishiwa kwa magari ya Magazeti Click to expand... Sawa sawa mkuu je unauzaje hapo kwako na mpaka waanze kutaga wanachukua mda gani hasaaa??me nipo dar nawahitaji hao....
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Oct 6, 2017 #18 Papizo said: Sawa sawa mkuu je unauzaje hapo kwako na mpaka waanze kutaga wanachukua mda gani hasaaa??me nipo dar nawahitaji hao.... Click to expand... kutaga ni wiki ya 18 wanaanza. sh 2500 wa siku moja
Papizo said: Sawa sawa mkuu je unauzaje hapo kwako na mpaka waanze kutaga wanachukua mda gani hasaaa??me nipo dar nawahitaji hao.... Click to expand... kutaga ni wiki ya 18 wanaanza. sh 2500 wa siku moja
msukuma fekero JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 2,386 Reaction score 3,150 Oct 6, 2017 #19 Chasha Poultry Farm said: kutaga ni wiki ya 18 wanaanza. sh 2500 wa siku moja Click to expand... Kwa mwaka wanataga mayai mangapi kwa mwaka?
Chasha Poultry Farm said: kutaga ni wiki ya 18 wanaanza. sh 2500 wa siku moja Click to expand... Kwa mwaka wanataga mayai mangapi kwa mwaka?
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,942 Reaction score 9,464 Oct 6, 2017 #20 msukuma fekero said: Kwa mwaka wanataga mayai mangapi kwa mwaka? Click to expand... 280 hadi 300