Kukosa malezi ya baba kunanitesa sana.

Kinachokusumbua sasa hivi kitakwisha pindi utakapooa na kuanzisha familia yako. Mke wangu alilelewa bila baba na mama na alikuwa anajiita yatima ila tulipofunga ndoa alisahau yote na sasa yuko sawa tunalea familia na pia maisha yanaenda vizuru tunashukuru Mungu
 
Huenda ikawa kuna ukweli. Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
daah Upo sahihi kabisa hasa hapo mstari wa mwisho" asiyetaka mtoto atunzwe aachwe yeye" Mimi huwa naamini ukiacha ndugu wa kuzaliwa nao..basi anayefuata ni mtoto/ watoto wangu...hawa wanawake tumekutana tu ukubwani kila mtu ana malezi yake kwahiyo mtu asibabaishwe nao!!
 
Huenda ikawa kuna ukweli. Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli mkubwa kwa kuwa kwa sasa wewe bado unajiona mtoto na kuwazia walezi. Pindi utakapo pata mwenza na wewe kuwa mlezi utabadilisha mindset na kusahau yaliyopita. Nimeiona hiyo kwa mke wangu yeye hakuwa na baba wala mama na alilelewa na ndugu yake ila kwa sasa ameshasahau yote yaliyopita na analea watoto vema tu
 
nadhani hukupat amboko za baba, ndio hizo zinakufanya uwe mpweke ndani !
 
Kwa wale wote mliozaliwa na kulelewa na mzazi mmoja hasa single mother tafadhali mnapokua tumieni nguvu zenu zote kuhakikisha mnawatunza mama zenu waliotukanwa malaya ila wakapigana mpaka mkajiweza. Kuanza kumtafuta baba ambaye amemsababishia mama yako na wewe mwenyewe mateso na dhihaka maisha yote ni kuendelea na matusi yaleyale ambayo mama yako ametukanwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee sana
 
Kabisa yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika masiaha haya, kila mtu anayo story yake; ukweli kitendo cha kuzungumza kuhusu hao baba zako 2 binafsi nimekuchukulia very serious, is like umeizungumza aibu kubwa ya mama yako, hapa ni kweli unahitaji msaada but msaada wenyewe ki ukweli upo akilini mwako mwenyewe; vipo vitu katika Maisha vikiisha kutokea you can't change them, tatizo lako ni la kisaikolojia tu, nakuombea sana kwa Mungu upate mke mtakaye pendana nae cause ukipata mwanamke ambaye hakupata malezi mazuri ukweli utaumia Zaidi ya hapa but again watu wa namna yako huaga wababa wazuri sana kwa watoto wao. Dogo, fanya hivyo, that is history already, jitahidi kulisahau hilo tukio kwasababu halikua katika uwezo wako na hauna namna ya kulibadiri, baba yako kwasasa kaona UMRI unamtupa mkono so anatafuta namna ya kuelewana na wewe ili uzee wake usiwe wa shida tena.
Vipi, una mchumba au na wewe unachapa chapa nje? Angalia usije na wewe ukamtengenezea huzuni mtoto mwingine kama ulioipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…