Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,875
Atakae wachinja nani?Anzisha ilo vugu vugu na ndugu zako alfu uone mtavyochinjwa kama paka shoga
Jiunge nae muanzishe mkuu alfu ndyo utamjuaAtakae wachinja nani?
Wenzako tunadai katiba mpya kivyovyote vile, sasa wewe endelea na uoga wako.Jiunge nae muanzishe mkuu alfu ndyo utamjua
Mnachinja watu?Anzisha ilo vugu vugu na ndugu zako alfu uone mtavyochinjwa kama paka shoga
Ogopa wewe, sio sisi. Na kufa si ndio njia ya kwenda ahera au haujui?Labda kama mnadai chumbani otherwise mtakufa kifo cha ajabu
Imekaa vizuri.Na ikitokea kifo,chama chenye mbunge kiteue mrithi ambaye alikuwa mshindi wa pili kwenye kura za maoni za chama chao.Mimi nana shauri kuliko kupoteza fedha nyingi kurudia uchaguzi kwa hawa wanaojiuzulu au kwasababu yeyote mnaonaje tuanzishe Campaign ya mabadiliko ya katiba kuwa jimbo au kata iliyowazi ,hakuna uchaguzi isipokuwa mshindi wake wa pili ndio aijaze nafasi hiyo.
Mnaonaje ndugu?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Mbona unaongelea chumbani, ndio nini? Au jf imekuwa chumba, maana sikuekewi kabisa. Wewe fanya yako, haya tuachie sisi ambao tunajua kufa ni sehemu ya maisha.Fanyeni haraki tuzione sio kudai mkiwa chumbani boss
Mimi nana shauri kuliko kupoteza fedha nyingi kurudia uchaguzi kwa hawa wanaojiuzulu au kwasababu yeyote mnaonaje tuanzishe Campaign ya mabadiliko ya katiba kuwa jimbo au kata iliyowazi ,hakuna uchaguzi isipokuwa mshindi wake wa pili ndio aijaze nafasi hiyo.
Mnaonaje ndugu?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Mungu yupo, anasimama pamoja na wenye haki.Poa poa all the best
Kwa vyovyote vile utakuja kufa hata kama waogopa kifo. Pili hakuna ajuae aina ya kifo alichopangiwa. Chaweza kuwa cha ajabu huna uwezo wa kujipangia.Labda kama mnadai chumbani otherwise mtakufa kifo cha ajabu
Umesahau jambo kndugu. Ikiwa hivyo itakuwa ni hatari sana kwa wale wabunge waliochaguliwa. Ni rahisi kufanyiwa figisufigisu na mshindi wa pili, ikiwezekana hata kumpoteza ili nafasi ibaki wazi na yeye achukue. Hebu ifikirie vizuri hii hoja yako nduguMimi nana shauri kuliko kupoteza fedha nyingi kurudia uchaguzi kwa hawa wanaojiuzulu au kwasababu yeyote mnaonaje tuanzishe Campaign ya mabadiliko ya katiba kuwa jimbo au kata iliyowazi ,hakuna uchaguzi isipokuwa mshindi wake wa pili ndio aijaze nafasi hiyo.
Mnaonaje ndugu?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Heee! Kuchinjana imo kumbe!!Anzisha ilo vugu vugu na ndugu zako alfu uone mtavyochinjwa kama paka shoga