Kukomesha nunua nunua tufanye hivi

kipara anahonga kodi zetu..
tupaze sauti risasi kaundiwa binaadamu..
Bila aibu yule fisadi mwenzake, Mnyeti anatangaza wazi eti bado wanazo kodi za kutosha kwa ajili ya kuhongea..
halafu fisadi kama hilo eti unalipandisha wadhifa..
 
Ukifanya hivyo basi itakuwa ndio umehalalisha "ununuzi" na "manunuzi".

Nasisitiza tusitafute short-cuts kwenye matatizo haya, Vyama vya Upinzani vijtathmini na kujijenga upya kuanzia CHINI kwenda juu, vijenge vijana na kuandaa viongozi ili kuondoa nunuliwa-nunuliwa na makando kando kama hayo.

Kwa sababu historia inayonyesha kuwa hata miongoni mwa Wabunge walioko Upinzani sasa hivi na wanaodhaniwa ni dam-dam kuna waliowahi kununuliwa na/au wengine kushiriki michezo michafu huko nyuma.

CCM ni chama na taasisi yenye mfumo na uwezo wa kutumia kila mbinu na silaha iwe safi au ovu kwa kiwango ambacho Upinzani hawawezi kukabiliana nao mpaka pale tu watakapokuwa na watu (viongozi, wanachama) thabiti, walioandaliwa na walio committed. Kwa sasa hakuna njia maana Upinzani uko kwenye tanuru la aidha kufa au kupona.
 
Imekaa vizuri.Na ikitokea kifo,chama chenye mbunge kiteue mrithi ambaye alikuwa mshindi wa pili kwenye kura za maoni za chama chao.
 
naelekea kuiweka siasa pembeni kama ilivyokuwa habari za udaku.
 
Fanyeni haraki tuzione sio kudai mkiwa chumbani boss
Mbona unaongelea chumbani, ndio nini? Au jf imekuwa chumba, maana sikuekewi kabisa. Wewe fanya yako, haya tuachie sisi ambao tunajua kufa ni sehemu ya maisha.
 

Wazo langu iwapo mbunge/diwani anajiuzulu basi nafasi hiyo ijazwe na chama chake kwa kufanya uchaguzi wa ndani.
 
Labda kama mnadai chumbani otherwise mtakufa kifo cha ajabu
Kwa vyovyote vile utakuja kufa hata kama waogopa kifo. Pili hakuna ajuae aina ya kifo alichopangiwa. Chaweza kuwa cha ajabu huna uwezo wa kujipangia.
 
Umesahau jambo kndugu. Ikiwa hivyo itakuwa ni hatari sana kwa wale wabunge waliochaguliwa. Ni rahisi kufanyiwa figisufigisu na mshindi wa pili, ikiwezekana hata kumpoteza ili nafasi ibaki wazi na yeye achukue. Hebu ifikirie vizuri hii hoja yako ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…